CUF will not fall, ever.
Kwani nyinyi si mna chadema yeno sasa CUF ya nini tena.
Ila nijuacho ni kuwa chadema iko katika danger zone zaidi kuliko chama kingine chochote hapa TZ.
mfano mzur tu
CUF ilikuwa na wabunge wanaotosha kuunda serikali ya upinzani bungeni na chadema ilikuwa na wabunge 11 tu waliwashirisha na slaa alikuwa naibu kiongozi kambi ya upinzani lakini sasa CUF wabunge 34 na chadema 45 eti hawataki muungano. Whats hell is this.
Halfu eti wanashangaa mabere kapata kura 53 tofauti na idadi ya wapinzani ambao wako 85. miaka 5 si michache, we shall see