chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,507
Wabongo wengi hawawez kutake risk ili wafanikiwe kwenye maisha Yao, wanapenda ulaini laini mserereko. Ukitaka kupata vitamu lazima utoe jasho ndio mana wanasiasa wanakula pesa zenu ovyo na kuuza nchi maana wanajua nyie risk ya maandamano hamuwez
Wasomali, Wanigeria, wahaiti, Wamexiko na Wakenya wanajilipua sana mambele ulaya na marekani kutafuta maisha ila nyie mnasubiri koneksheni sebleni Kwa mama ako unataka ikufate connection. Waarabu kutoka Libya wanavuka bahari Kwa mitubwi mpaka wanafika Ulaya hata kama wakafia baharini lakini wamejaribu kuliko wewe muoga kamwe hutakuja fanikiwa
KWENYE maisha lazima uweke Roho mkononi ukindondoka tu umekufa ila ukifika salama umeula. Sasa wabongo waoga sana
NB: Ukisikia mlio wa risasi ujue imekukosa
Wasomali, Wanigeria, wahaiti, Wamexiko na Wakenya wanajilipua sana mambele ulaya na marekani kutafuta maisha ila nyie mnasubiri koneksheni sebleni Kwa mama ako unataka ikufate connection. Waarabu kutoka Libya wanavuka bahari Kwa mitubwi mpaka wanafika Ulaya hata kama wakafia baharini lakini wamejaribu kuliko wewe muoga kamwe hutakuja fanikiwa
KWENYE maisha lazima uweke Roho mkononi ukindondoka tu umekufa ila ukifika salama umeula. Sasa wabongo waoga sana
NB: Ukisikia mlio wa risasi ujue imekukosa