mkuu paulss hebu niambie ulifikia wapi na kale kamkasa chetu cha mapachaMkuu sitaki unielewe vibaya but this is a most stupid question
Unless uniambie unabebwa na hujasomea fani hii kabisa, namaanisha totally you know nothing about it
Samahani sana mkuu kama nimekukwaza
wadau, kuna kazi ya kuwa stores officer nime-apply, je risk zake ni zipi?