Aisee, I've bin wanting to say this muda kweli. madam rita kweli u are beautiful and blessed with a kind heart ila huwezi kutofautisha kazi na the good heart that u have.
Kwenye BSS kwakweli ur too much to handle, i rily hate it when u give POSITIVE, 'CHARITY' and FALSE comments to the contentasts. you might think you are encouraging them but deep down ure the one killing their talents by not telling them that they are wrong and point out areas to improve.
kipindi cha mwisho\ juzi ndo uliboa kabisa when you supported a contestant anayeimba broken english eti kwasababu BSS sio university correcting language!!!! kweli, artist akiimba broken language huoni it wont be an entertainment but a total boring and awful thing to listen? tena uka sema kwamba mshiriki mmoja anafaa kwasababu kushindwa kuimba exactly kama another music artist sio issue coz 'tuna kujudge wewe kama wewe, whitney huoston ni whitney na wewe ni wewe' this was rily sick!!! kwani mshiriki anatakiwa ajue uwezo wa sauti yake na kuchagua nyimbo anayoweza kuiga, ndio hatakiwi kuiga 100%, creativity is allowed lakini anachoimba kinatakiwa kifanane (sauti) na the original song.
My honest comment and recommendations, Madam Ritha should remain the owner of BSS and leave other professionals to do the judging coz you are not impressing us. Salama, Pfunk na Master jay are doing a rily great job, rily great and they can produce a ril star. kuwabeba washiriki sio sawa coz BSS is not charity...its a talent show!
Otherwise, i love BSS and beautiful madam ritha!