Suala la kupuliziwa sumu sidhani, lakini suala la kuiba pesa inawezekana ni kweli kwa sababu kuna kipindi cha nyuma kuna timu ilikuja kucheza na Simba mashabiki wa utopolo wakaenda kuwapokea uwanja wa ndege baada ya muda wachezaji wakalalamika kuibiwa simu.Nawatetea yanga hawawezi kufanya huo upuuzi kwa timu gani ile kama ihefu tu. Watafta sababu labda washaona mambo magumu. Ila wanaijeria kwa ujanja ujanja wanajulikana.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nyinyi kipindi mnaituhumu Simba kuwa ina puliza sumu kwenye nyumba vya kubadilishia nguo mlikuwa mnakuja na ushahidi gani?Issue ya kusema umepuliziwa sumu ni lazima iwe na vivid evidence na hasa Scientific evidence na sio maneno tu,
Wametumia kipimo gani kutambua kua wamepuliziwa sumu? evidence ya result ya kipimo iko wapi?
Hili jambo sio lakulichukulia kishabiki coz linaharibu taswira ya nchi.
Yanga wana bahati mechi ya 1 walianzia Nigeria la sivyo wangepatwa na majuto kama ile mechi ya wakati ule walipomalizia Nigeria.Nawatetea yanga hawawezi kufanya huo upuuzi kwa timu gani ile kama ihefu tu. Watafta sababu labda washaona mambo magumu. Ila wanaijeria kwa ujanja ujanja wanajulikana.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mimi sio shabiki wa hiyo team uliyonivisha,nimetoa maoni yangu sio kwa ushabiki wa team yeyote ile.Nyinyi kipindi mnaituhumu Simba kuwa ina puliza sumu kwenye nyumba vya kubadilishia nguo mlikuwa mnakuja na ushahidi gani?
Acha ukurupukaji hivi unaijua millions $ au unaongea tu?
Kama una uhakika ni vizuri kusaidiana na mamlaka husika kuwapa taarifa kamili ili mhalifu aweze kukamatwaNina uhakika yanga mumeiba hiyo pesa...
Kuhusu sumu huenda mnasingiziwa, maana haimake sense...
So rudisheni pesa za watu maana watanzania tumechoka na hizo tabia zenu.
Million 12 Ni less ndogo??Hiyo si kama mil. 12, mbona pesa ndogo tu.
Mashibiki wa Yanga. Hiyo sentensi uliyoandika mashabiki wa Yanga umeandika ila hukufikiria kwa upana. Kifupi walikuwa ni wezi ndio walioba na sio Yanga ndio walioiba.Suala la kupuliziwa sumu sidhani, lakini suala la kuiba pesa inawezekana ni kweli kwa sababu kuna kipindi cha nyuma kuna timu ilikuja kucheza na Simba mashabiki wa utopolo wakaenda kuwapokea uwanja wa ndege baada ya muda wachezaji wakalalamika kuibiwa simu.
Acha usu **** weweKlabu ya soka ya Rivers United kupitia ukurasa wao rasmi wa Twitter wametoa taarifa ya madai ya basi lao kupuliziwa kemikali ya sumu pamoja na kuibiwa fedha zilizoachwa humo ndani ya uwanja kwa mazoezi usiku huu.
Hayo yamegunduliwa baada ya timu kumaliza mazoezi yake ya mwisho kuelekea mchezo wake dhidi ya Yanga ya Tanzania ndipo ilipojulikana kuwa basi la timu limeingiliwa na kupuliziwa kemikali ya sumu pamoja na kuibiwa jumla ya USD 5,250.
Rivers United imeiandikia CAF na inasubiri kuchukuliwa kwa hatua zaidi.
Ila wanaigeria wana asili ya utapeli, wanatengeneza drama tu, Tangia lini Mnigeria akaibiwa kirahisi kwa jinsi walivyo wezi na matapeli.
View attachment 2604249
Kwa hiyo ikiwa ndogo inatakiwa kuibiwa?Hiyo si kama mil. 12, mbona pesa ndogo tu.
Wachezaji walilalamika kuibiwa simu zao na watu walio enda kuwapokea uwanja wa ndege na walio enda kuwapokea ni mashabiki wa utopolo fc usilete utetezi usio na maana.Mashibiki wa Yanga. Hiyo sentensi uliyoandika mashabiki wa Yanga umeandika ila hukufikiria kwa upana. Kifupi walikuwa ni wezi ndio walioba na sio Yanga ndio walioiba.
Kwahiyo unataka kukataa kuwa hakuna mashabiki wezi au vipi? Mbona unakosa maarifa kiasi hiki? Hakuna kiongozi wa Yanga kwenye hao watu bali ni mashabiki ambao ni wezi na ndio maana wameiba vitu.Wachezaji walilalamika kuibiwa simu zao na watu walio enda kuwapokea uwanja wa ndege na walio enda kuwapokea ni mashabiki wa utopolo fc usilete utetezi usio na maana.
Kwani kwenye maelezo yangu kuna sehemu nimetaja viongozi wa yanga?Kwahiyo unataka kukataa kuwa hakuna mashabiki wezi au vipi? Mbona unakosa maarifa kiasi hiki? Hakuna kiongozi wa Yanga kwenye hao watu bali ni mashabiki ambao ni wezi na ndio maana wameiba vitu.
Hawakushutumu kabla ya mchezo ni baada.Nyinyi kipindi mnaituhumu Simba kuwa ina puliza sumu kwenye nyumba vya kubadilishia nguo mlikuwa mnakuja na ushahidi gani?