Selemani Sele
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 319
- 711
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 1.
Maisha n safari na huwez jua kesho yako mungu kaipanga kwa namna gani.
Naitwa marry nimezaliwa mm na mdogo Wangu wa kiume pekee,nilipofika kidato cha tatu baba alifariki na wakati huo mdogo wangu alikuwa darasa la sita.
Kiukwel maisha ya nyunban yalibadilika sana.
Mama hakuwa na kazi kipindi chote cha uhai wa baba kwa maana alikuwa mama wa nyumban tu.
Uzuri baba alikuwa kajenga ila hakuwah kumruhusu mama kufanya kazi au biashara yoyote ile.
Mwanzo watu walikuwa wanatusaidia ila baadae maisha yakawa magumu mno na mama alikuwa muoga wa maisha sana yaan anawwza akapata hata laki mbili akaogopa kufungua hata kibiazhara cha genge na kuanza kuibana hio pesa ili itusogeze sogeze.
Haikuwa rahisi mama kufikiria chochote kuhusu biashara na alitegemea kuna watu wanaupendo wataendelea kumsaidia kumbe alichokiwaza sicho maana wanaadam wana mwanzo tu mwisho wanaujua wenyewe.
Mwisho watu waliacha kutoa msaada tukaanza kupambana mama akaenda kutafuta kibarua cha mama ntilie ili walau wanae tule.
Tuliacha kula milo mitatu tukawa tunakunywa uji asubuh na jion ndio Kama tutasonga ugali.
Hali haikuwa hali.
Nilimaliza form four na kwabahat mbaya nilifeli.
Nilianza na mm kutafuta vibarua ili walau nimsaidie mama maana maisha ya nyumban yalikuwa magumu Sana.
Nikaanza na mm kitafuta kazi nikawaomba na mashoga zangu wanitafutie kazi basi nikapata kazi sehemu moja ila ilikuwa baa Arusha huko.
Nikaanza kazi ila kwa kificho maana sikutaka mama yangu ajue kama nafanya hio kazi maana nilihisi hatojisikia vizuri.
Walikuwa wananilipa laki na 20.
Ilikuwa n pesa ndogo sana maana kuna muda mteja anakuja anakutongoza ukimkataa anaenda kukureport kwa meneja.
Na muda mwingine mteja anakuja anakushika hata paja ukikataa anakutukana alafu anaondoka bila kulipa unakuta hilo linakuwa deni lako.
Unaweza ukajikuta kila mwezi umepoteza hata elfu 50 na nihasara kubwa Sana hio.
Na ubaya sikuwa hata na we za kuchukua tips kama wenzangu.
So nilikuwa najikuta naondoka na mshahara tu tena uliokatwa sana.
Ilipita miezi miwili na bado sikuwa nimezoea mazingira ya kazi na bado nilikuwa na aibu aibu.
Kama mnavyojua baa hauwez kuvaa dera na isitoshe nilikuwa na watu ambao walikuwa wananishawishi kuhusu kuvaa so nilikuwa natoka nyumban na nguo ambayo kdg iko vzr nikifika kazin nabadilisha nikiamin kufanya hivyo n kushawishi wateja.
Siku moja alikuja baba mmoja yaan kuanzia ameingia alikuwa kama kalewa hivi akaagiza castlelager nikaenda kumletea.
Nimerudi saa ngapi asinishike paja.
Nyie nikamtoa mkono akasimama akaanza kutukana kuwa Nimemdhalilisha.
Muda huo huo akaja kijana simjua alikuwa mrefu akamkunja kisha akasema usithubutu kumzalilisha mwanamke mbele yangu.
Akaja meneja akaanza kumtukana yule kaka ety kama ananitetea anilipia na aondoke na mm maana anaonekana ananipenda sana.
Yule kaka akatoa noti za elfu 20 kisha akasema nimeshamlipia kingine mnachotaka meneja akakaa kimya kisha yule kijana akaondoka zake yule mzee likamshuka na yeye akanyanyuka akaondoka.
Nakuja..........
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 2.
Yule kaka alinisaidia sana.
Wengine walidhan n Ndg yangu na wengine wakadhan labda alikuwa ananitaka ila mm nilimuacha kila mtu aamin anachokitaka maana huwez kumzuia mtu kuamin jambo analojisikia kuamin.
Lakin chaajabu sikuwah kumuona yule kaka tena yaan n Kama aliletwa tu ilikunitetea basi na kdg Meneja akawa hanitukan tena.
Mazingira yangu angalau yalikuwa yapo vzr pale kazin.
Muda ulienda nkazoea kazi nikawa naweza kuvaa ninachotaka na vitips sivikosi Ila kama mnavyojua mshahara bado ulikuwa mdg na kingine kwenye baa ambayo nilikuwa nafanya kazi mfano mteja akikutaka basi anatoa elfu 10 kwa meneja kisha anaondoka na ww sasa hio kitu mm haikuwah kunikuta.
Sasa sikumoja nipo zangu nahudumia mteja yaan sina hili wala lile akaja mbaba wa makamo akanishika kiuno nilitaman kumtukana nikashangaa meneja wakat huo huo kaja akanambia ety Mary huyo ameshaacha ela kwangu so mnaweza kuondoka nyie nikaona balaa gani hili alafu yule baba akawa ananichekea chekea.
Ni kama sikutegemea yule baba akanishika mkono akanambia mrembo twende.
Asee niligoma maana hata kama nafanya kazi baa lkn mm sio malaya so siwez kwenda nae.
Tukawa pale tunabishana kitu kilichopelekea wateja wote macho yao yawe kwetu nikaona ehee balaa gani hili.
Nikajiambia kuliko kwenda kulala na yule mwanaume yaan bora niache kazi.
Nikaenda kwa meneja nkamwambia mm naacha siwez kulala na huyu mtu.
Nikashangaa meneja ananibembeleza ety ananambia s siku moja tu mbona hukuna madhara yoyote.
Kymbe yule baba alitoa elfu 50 na meneja hakuwa anataka kuzirudisha hizo hela na wakat mm sijawah kufanya mapenz yaan na zikuwa tayar kwenda na nilikuwa naongea kwa hasira.
Kuna mwenzangu mmoja ambae n baa med mwenzangu saa ngapi asiniletee maji ninywe ili nipunguze hasira yaan nikajikuta Kama nimelewa na mm sijawah kunywa hata hizo pombe zenyewe yaan.
Sijui ilikuwaje nimekuja kuaamka nipo pemben ya huyo baba na mapaja yananiuma hatari.
Hapo mama yangu kanipigia simu Mara kibao manaa sikulala nyumban na haijawah kutokea katuma na sms za kuwa na waswas maana sio kawaida na nikawa hata sijui nimjibu nini.
Yule mwanaume akawa anacheka cheka tu ety kumbe kuna mabaamed bikra.
Alikuwa ananitia hasira kinyama yaan anibake alafu anichekee nikumuangalia naona ananitishia na lisura lake.
Usijal mimi unaweza ukanifanya sponsor wako maana mimi nina Mke Ila nitakutunza vzr akawa anasema nikaona ananivuruga tu yaan Kwa maana sikuwa namuelewa chochote kile.
Nikataka kuondoka hapo namwa mapaja yaan mbona hamkunambia kama kutolewa bikra kuna uma hivi nyie nikashangaa katoa kibunda cha kama laki na 60 akanipa kuhesabu n laki na 60 nyie nikasahau shida zote maana hata mshahara wangu sijawah kufika hio pesa akanambia chukua tecx mpaka nyumban nikasema sawa maana kwa nilivyokuwa najisikia nisingeweza kwenda kazin.
Nimefika mama nikamdanganya danganya akaonekana kunielewa basi nikapitiliza chumban kulala hapo sina mawazo ya maradhi wala Nn.
Nakuja
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 3.
Nililala mpaka kesho yake asubuh nikampa mama pwsa kdg nikamuomba aandae supu kweli akaanda nikanywa then nikakaa kaa kdg manaa mtu nikama nilikuwa na hangover.
Pia siku hio sikwenda kazin kwenye mida ya saa nne usiku nikiwa nyumban nimelala simu yangu ikaita kuangalia n namba ngeni nikapokea nikasikia tusi moja matata alafu ety bikra maria mbona sikuoni njoo kwa chimwaga nkusafishe na pesa.
Nikakata simu nikalala zangu.
Asubuh naamka ile kuwasha simu muamala umesoma laki mbili na 70 nyie huyu baba anamajaribu.
Na sms ikaingia naomba leo tukutane nipate ile kitu inabana siku mjibu nikaanza kufanya kazi za nyumban nikamblock kisha nkavunja line nikajisemea nimeshapata mtaji manaa ile kazi n yakudhalilisha Sana.
Nikamfata mama nikamwambia nimesave pesa kdg naomba anishauri tufanye biashara gani.
Akanambia bora tutengeneze kibanda tuwe tunauza kweli tukatengeneza kipanda tukaenda sokon tukachukua vitu kwa jumla yaan tenga la nyanya,debe la vitunguu na vitu vingine,maana nilikuwa na Kama laki nne na mdogo wangu ndio alijenga banda tena bure kabisa.
Tukaanza kutangaza na kupiga kelele kuwa tunauza vitu Kama sokon yaan haina haja mtu kwwnda mbali kupata vitu vingi yaan hata akija kwetu anapata tena bila nauli.
Hatukutegemea watu walikuja wengi na wakawa wanaambizana kuwa mtu akitaka viungo vya mboga aje kwetu tunajaza na kumjazia.
Mungu n kama aliona vilio vyetu vya muda mrefu akaamua afungue Njia na maisha yakaanza kubadilika maana tulikuwa tunauwwzo wakupata hata faida ya elfu 20.
Mama akaja na wazo la kukaanga ndizi na vitu vya kuku na samaki.
Kwsli Mungu aliendelea kushusha nuru kwenye maisha yetu na mambo yakaendelea kwenda vzr tofauti na tulivyotegemea kabisa.
Mdogo wangu alifaulu kidato cha nne,tunamshukuru Mungu pesa ya kumsomesha ilikuwepo.
Akaenda kusoma form five.
Siku moja alikuja mdada mmoja tuliokuwa tunafanya kazi baa kunisalimia hapo ikumbukwe mama yangu hajawah kujua kama nilishawah Kuwa baa medi tukapiga story Ila nilimtoa pemben kdg ili mama yangu asisikie maongezi yetu.
Tukapiga story nyingi kqeli mwisho akanambia ila shoo unabahat.
Nikamuuliza bahat gani akatabasam akanambia siyule mzee kukuhonga pesa zote hizo nikamwambia ndio hivyo.
Mwisho akanambia ila usisahau kutumia dawa maana inasemekana mzee n muathirika na kingine yaan yule Mzee na maradhi aliyonayo lakin haongagi zaidi ya elfu 10 Ila ww amekumwagia mafedha ya kutosha.
Kiukwwli nilishtuka baada yakusikia kuwa alikuwa n muathirika,kengele ya hatar ikacheza kichwan kwangu nikawa najiona nimeshafariki Mimi jaman.
Ila sikuonesha kushtuka maana nawajua wadada niliokuwa nafanya nao kazi baa maana wanachuki wakiona umepata sponsor anaekuhudumia vzr watapambana wamchukue au wakuharibie nikatabasam kisha nikamwambia mwenye nacho huongezewa nikimaanisha kwamba na mm n mgonjwa kitambo labda tu ameongeza virus wa kizungu😀😀
Nikaona n kama hakutegemea jibu langu alafu akajifanya ameshtuka.
Ety don't tell me umeathirika.
Nikaona kaanza kukosa raha hakuwa na aman tena akanyanyuka akaondoka.
Nakuja.......
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 4
Nilikuwa na pressure sana ila nikawa najipa moyo kuwa wivu ndio utakuwa unamzumbua maana nilishaacha kazi ya baa na sasa nasikia faraja kwa kazi ninayoifanya.
Kesho yake nikatoka nikaenda kupima nikajikuta swafi kabisa maana nilikuwa na wasiwasi sana.
Usiku yule rose akanambia unauhakika umeathirika nikajisemea nyoo kumbe wivu n kidonda sasa nitamtesa kisaikolojia mpaka akome.
Nikamwambia ndio 'na kila jumatano tunaenda kuchukua vidonge mamaa so kama umetembea na yule mzee basi karibu chamani nikashangaa amekata simu nikajisemea ehee nimegusa penyewe kabisa..
Basi maisha yangu yakawa yanaendelea na kdg maisha ya nyumban yalibadilika kwa kiasi kikubw.
Muda ulienda hatimae mdg wangu akatimu kidato cha sita tukaenda kwenye graduation yake Mm 'na mama.
Sasa wakat shamra shamra zinaendelea nikamuona kijana mmoja ananiangalia sana na kiukweli sikujua n nani ila pia sikuzingatia sana maana nilihisi anamawazo yake.
Muda ulienda ukafuka muda wa wahitimu kukaa na ndg zake 'na wakat huo ndio ulikuwa n wakat wa kula keki na mavitu tuliyoyaandaa kwaajili ya graduation.
Nikashangaa yule kijana anakuja mpaka nilipokuwa mm,mdogo wangu na Mama na kulikuwa 'na rafiki zake mdogo wangu.
Na mdogo wangu alikuwa anaitwa marcelino.
Yule kijana akasema ila umefanana na dogo nikatabasam tu wala sikumjibu kitu chochote kile
Ticha willium ko Mm nime fanana na mtoto wa kike anauliza marcelino.
Nikajua ahaa kumbe n mwalim huyu sasa mbona yuko kama kachalii tu.
Ila dogo una sista mrembo akasema Sir William kama anavyoitwa wote tukatabasam Mama akaondoka akasema ameitwa kwenye vikoba sasa pale mwanamke nilikuwa Mm pekee yangu.
Nashangaa bado macho ya ticha yako na mm nikajisemea ehee huyu mbona ananiangalia hivi ila nikavunga.
Sasa nilikuwa nimevaa viatu virefu ni kaamka pale nilipokuwepo nikataka niende uwani.
Nyie saa ngapi nisijikwae nikamdondoke Ticha wa watu nikashangaa kanikumbatia kwa nguvu kisha akasema u have such a beutiful smell, nikashangaa mdogo wangu 'na wenzake wanashangilia ety Shemu Shemu kisha akaniachia nikaenda uwani ila nilivyorudi nikajikuta ninaaibu mno.
Kila mtu aliliona hilo so tukafanya mambo chap chap yaan tulilishana keki kisha tukApiga picha Mm nikaondoka zangu.
Maana si tunajua form 6 wanafanyaga kwanza ndio wafanye mitihani
Sikujua kama niliacha habar kubwa sana nyuma yangu kuhusu Sir willium.
Yule mwalim aliweka ukaribu wa hali ya juu 'na mdogo wangu.
Siku marcelino anarudi nyumban alikuja 'na matani yake ila sikujal maana tumeshamzoea.
Tukapiga story mwisho akanipa kibahasha kulikuwa na barua na saa.
Barua ilisema hivi........
Nakuja.......................
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 5.
Mrembo nimeambiwa unaitwa Mary yaan jina lako lina fanana na urembo wako hakika Mungu alikuumba akiwa hana hekaheka.
Huo n utangulizi 😀😀
Najua nimeshakutana 'na wanawake wengi na wenye sifa nyingi ila toka nimekutana na ww hakika moyo wangu umepata msisimko wa kipekee,naomba kusema kuwa nahisi nakupenda na sio kuhisi nakupenda tu ila nadhani watoto wangu wanatakiwa kucheza kwenye tumbo langu.
Namba zako za simu ninazo so kama unahisi unafaa kuanzisha mahusiano na mm basi namba zangu n 0658 0.........
Naomba usinifanye nisubiri sana nakupenda by mumeo willium.
Sijui kwann ile barua ilinisisimua sana yaani kwa namna ya kipekee sana.
Nikachukua namba nikazisave nikawa najiuliza nimtafute au nisimtafute.
Mdogo wangu sasa akawa ananipamp ety mwalim wake kanielewa nisimtese.
Kwakuwa sikuwa na mahusiano nikaona acha nikubali.
Basi nikamtumia sms ya hi kama wiki moja toka nilipopokea ile barua.
Akapiga wakati huo huo akanambia hellow mke wangu nilikuwa nasubiri simu yako kwa hamu kubwa sana,naingia kwenye kipindi nikitoka nitakutafuta nikasema sawa.
Basi kweli mida ya jioni kama saa 11 hivi akanipigia akaanza kunambia n namna gani ananipenda na ninamna gani anatamani kuwa na Mm kwenye maisha yake yote nikawa nimetulia tu namsikiliza maneno yake.
Mwisho akaniuliza Mary do u love me.
Nikawa kimya kwa dakika kadha kisha nikamjibu kuwa nahisi moyo wangu unadunda sana kila nikimfikiria.
Alicheka akanambia asante.
Penzi likaenda likataradad kweli kweli.
Ikapangwa siku ya utambulisho walikuja kwetu willium 'na wazee wake baada ya hapo ikaandaliwa kitafrija kdg cha kuvalishana pete na hapo mambo ndipo yalipoharibika maana kabla sijavalishwa pete tykawa tumetoka mbele tuanze hilo zoezi saa ngapi asitokee mlevi sijui wa wapi akaanza kuongea kwa sauti kubwa kiasi kana kwamba kila mtu akaacha alichokuwa anafanya akamgeukia na kumzikiliza anataka kusema nn.
BAamed unavishwa pete akialai Kaka umekurupuka saa 12 jioni mtu ameshatumiwa wee sasa hivi ndio Unataka umuoe akaangusha picha kama tatu chini kisha akaondoka.
Walienda kuziokota na zilikuwa n picha zangu kipindi nafanya kazi ya ubaamed.
Hakuna aliotegemea hilo maana zikuwah kumuambia hata Mama yangu Mzaz kama nilishawah kufanya kazi baa.
Walishikwa na butwaa watu wote maana hakuna aliekuwa anajua kama nimeshawah kufanya kazi baa.
Mama akaniuliza mwanangu Mm nakuamin ww nambie umeshawah kufanya kazi baa nikawa kimya maana sikujua hata natakiwa kujibu nini.
Kila kitu kiliishia hapo watu wote wakaanza kutawanyika.
Niliogopa hata kumfata Mama kuongea nae maana alionekana kama kaumia sana.
Zilipita kama siku tatu siongei na Mama baadae nikamfata nikamueleza mkasa mzima.
Alisikitika sana kisha akanambia najua ni maisha ndio yalikufanya uuwe hivyo Mm naelewa mwanangu ila angalau ungenambia maana nimeumia kwa kujua kwamba ulishawah kujitoa kafara kwaajili ya familia yako akasema.
Nambie ulipima akaniuliza nikamjibu ndio nilipima akaniangalia kisha akanikumbatia akaanza kulia tukajikuta tunalia wote.
Tulilia mwisho akanambia mwanangu najua ulifanya hivi kwajili ya familia yako Mm sina shida ila bora ungenambia mapema nijue.
Sikuwa hata nnachakusema.
Umeshapima akaniuliza mama.
Nikamjibu ndio.
Kesho yake Willium akanipigia akaomba tukutane nukatoka nikaenda mpaka aliposema tukutane kisha akaniuliza kwann sikumwambia mapema nikamjibu kuwa niliona jambo limeshapita so hakuna haja ya kulizungumzia.
Akatoa pete aliyopanga kkunivalisha akanivalisha baada ya hapo akasema mm nakupenda sana ila hili jambo limeleta mgawanyiko kwenye famulia yangu ila tumuombe Mungu atupigane.
Tukala tukapiga story mbili tatu kisha tukaagana.
Nakuja...................
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 6.
Nikarudi nyumban.
Mambo yalikuwa kawaida kati yangu na willium kana kwamba hakuna kilichotokea kwa miezi kama sita tu baada ya hapo akaanza kuwa biZze yaan unaweza ukampigia akakuambia ntakupigia baadae na asipige hata kwa siku mbili yaan ukituma sms anaweza akaijibu kesho yake..
Nikiomba kuonana nae ananikwepa yaan hata kuonana ilikuwa n mtiti..
Nikisema nisimtafute ndio nitolee yaan hana muda.
Siku moja akaomba tukutane nikasema ngoja na Mm nitingishe kiberit nikampa udhuru.
Nyie maneno yalimtoka yaan alinipigia akaanza nilijua tu mabaamed hawawezi kumtuliza mwanaume yaan ushazoea saiz tofauti Mm nitakurudhisha vipi.
Niambie unamasponsor wangapi maana ndio zenu baamedi hizo.
Nikashangaa maneno yote yametokea wapi.
Kwanza bora wazaz wangu wananipenda nimepata mwanamke mwenye adabu anaejua thaman ya mke na sio wewe changudoa akasema.
Sasa n hivi Mm hivi karibuni naenda kuoa naomba hii namba uione kama kituo cha polisi na usije ukanisumbua maana Mm n mke wa mtu mtarajiwa.
Nikashangaa n kweli ameshindwa kuongea 'na Mm kistaarabu mpaka maneno yamtoke kiasi chote hicho ila any way nilishaona dalili za kuachwa so nikamjibu sawa maisha mema.
Ona unavyojibu kama hujal nikaona nikate simu tusiharibuane siku..
Niliumia kiukweli maana nilikuwa nampenda mno willium
Ila nikaona niache maisha yangu yaendelee maana kisichoridhiki hakiliki.
Nikafocus kwenye biashara maana niliona ndio mpenzi wa pekee nilie nae.
Nikaanza kukaanga ndizi na mihogo asubuhi 'na jioni ili genge liwe la mama Mm nisihangaike nalo.
kweli mungu akawa ananisaidia napata vielfu tano vyangu.
Muda ulienda na willium alinichafua ila sikujal maana maneno na majungu yake yakawa yananipa nguvu za kuendelea kupambana kwaajili ya maisha yangu.
Basi muda ulienda mdogo wangu akamaliza chuo maana alikuwa anasomea engeneering Mungu sio athumani alivyomaliza tu akapata kazi.
akabadilisha kabisa maisha ya nyumban akaiweka nyumba yetu kwa aina ya kisasa zaidi.
Akafanya lile genge liwe haiclasaic nyie shida tukazipiga teke.
Wakat huo Mm nilikuwa na miaka 29 yeye alikuwa na 24 na kapata kazi.
Basi sikumoja kulikuwa na party kazini kwao akaja akanichukua maana Mm ninamwili mdogo kuliko mdogo wangu.
Akaenda kunipiga makeup ya maana akanivalisha 'na nguo hizo.
Nyie tukatoka hao 'na mdogo wangu tumeshikana mikono wenyewe kwa raha zetu.
Kufika akatakiwa kupewa tuzo ya kijana mwenye umri mdogo 'na muda mchache kazini alie iinua campun kwa muda mchache akatoka 'na Mm akataka kwenda na Mm mbele.
Yaani nilikuwa naona aibu vibaya mno.
Tukatoka akashukuru viongozi wake 'na watu anaofanya nao kazi mwisho akasema shukrani zangu kubwa ziende kwa Mama yangu Mzaz ambae ndio kasababisha mpaka watu wote wananijua sasa kwa kunizaa na kkunipambania kwa kiasi kikubwa sana.
Nashukran zangu kwa huyu mwanamke yaani alivyoanza kunitambulisha watu wote walijua n mchumba wake.
N mwanamke ambae anajua chozi langu,n mwanamke anaejua nguvu ya jasho langu.
Nimwanamke aliejinyima baada ya Mama yangu hakula wala kunywa kwa raha kwaajili ya furaha yangu na si mwingine bali n Dada yangu kipenzi Mary.
Watu walipiga makofi hapo tukashikana mikono ttukaenda kukaa nyie kuwa na Kaka mzungu n raha nyie.
Basi kuna muda alitoka akaenda kujumuika na wafanyakazi wenzake.
Akaja kijana wa makamo mwenye kama miaka 35 akanifata.
Tukaanza kupiga story na alionekana amechangamka sana.
Tukapiga story mwisho akanambia n kweli umwfanana na dogo ila mnapendana sana.
Nikacheka akanambia naomba mawasiliano yako.
Huwa sina kawaida ya kutoa namba zangu ila akanibembeleza sana mwisho nikaona nimpe tu namba za simu.
Mara akaja marcelino mdogo wangu akasema meneja.
Nimukuja kumpa company mrembo maana umwmuacha mwenyewe au unataka aibiwe maana wezi tupo akasema tukacheka kisha akaondoka zake.
Tulirudi nyumban usiku sana na kiukweli nilikuwa nimechoka mno sikuwa na muda na simu kabisa.
Asubuhi nimeamka nikakuta missedcall 3 na sms mbili kutoka kwenye namba ngeni.
Sms ya kwanza ilikuwa inasema mrembo umeshafika.
Ya pili pokea basi simu zangu nateseka mwenzio
Kiukweli sikutilia maanan maana sikuwa hata na mawazo ya meneja nikawa naendelea 'na shughuli zangu.
Kwenye kama saa tano asubuhi nikasikia simu inaita
Kupokea nikasikia sauti inasema nimefurahi kusikia sauti yako yaani kumbe unasaut ya kusisimua hivi.
Nani mwwnzangu nikamuuliza.
Naitwa warren n yule Kaka tuliokuwa tunapiga story jana.
Oww meneja nikasema
Usinipe cheo hivyo bn Mm sio meneja wanapenda tu kunitanua.
Basi tukapiga story mwisho akanambia naomba usimwambie dogo kama nimekupigia.
Nakuja...............
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
SEHEMU YA 7.
Basi alikuwa ananipa company sanaa ila alikuwa kama rafiki tu yaan ila tulikuwa tunaaweza kutoka tunaenda kupata lunch au dinner yaan ilikuwa n full burudani yaan.
Basi tulienda tukaja tukawa marafiki wazuri sana yaan kiasi kana kwamba tunashare moment za furaha na huzuni na alikuwa anaishi kawaida sana mpaka na Mm nikaamin sio meneja maana tulikuwa tunaeza kwwnda kwa mamantilie tukala na hakuwa na shida wala kinyaa au dharau.
Siku moja akaniomba tuonane kama saa 11 na Mm sikuwa na hiana nikatoka nikaenda kuonana nae.
Alikuwa kabadilika sana tofauti na kawaida.
Alikuwa na utulivu sana kisha akaniuliza naomba unambie kuhusu ww .
Nilishangaa kwann ameniuliza hivyo ila nikaona it ok nisimfiche kitu nikamwambia kuanzia maisha yangu mpaka nilivyofanya kazi baa nikawa naogopa sana reaction yake.
Lakin alitabasamu kisha akasema mamaa nakupenda.
Nilishtuka maana licha ya kuona dalili nyingi ila niliamin n rafiki tu wakawaida tu.
Nikajikuta naona aibu sana yaan.
Akaninyanyua uso kisha akanambia naomba niangalie Mamy unijibu ukiwa unanitazama usoni.
Nikazidi kuona aibu maana kama kichwa haikuwa yangu.
Akajisogeza akanikiss kwenye lips.
Nikatulia kisha akanambia naomba uwe wangu pekee yangu maana nakupenda sana.
Nikamuuliza lakini nilishawah kuwa baamed
Akaniangalia kisha akasema
Umesema ulikuwa kwamaana n kitu kilichopita na hata kama ungekuwa unajiuza lakini Mm siangaliag mambo yaliyopita mamaa Mm nakupenda akasema nikasema whee mambo si ndio hayo yaan m.mwendo wa kula huku unakula akaendelea kusema warren angalau nikafarijika sana.
Penzi likataradad sasa hapa ndio nilijua uhalisia wa warren alikuwa analipwa mshahara mkubwa mara nne ya mshahara aliokuwa analipwa mdogo wangu na yeye alifika kwenye millioni na kitu.
Alianza kunihudumia,alinitafutia simu kali na mafuta ya bei kubwa nyie nilianza kumeremeta sio mchezo yaani unaweza ukadhan sio mm.
Nikaanza kuwa wa gharama mtanitaka sasa.
Basi sikumoja akanambia anaubuyu tukutane sehemu anipe nyie achen maanaalikuwa kama mmbea mwenzangu akanikalisha sehemu akanambia chochote nitakachokiona nisinyanyuke wala kushtuka.
Nilikuwa nimekaa kwenye kona hivi.
Basi kweli baada ya muda nikashangaa namuona rose yule bint ambae nilikuwa nafanya nae kazi baa alikuwa kavaa hovyo sanaa 'na Vile mungu kamjalia choo basi n tafran kabisa.
Akaenda kukaa pemben ya warren nyie karoho kalikuwa kananidunda balaa na wivu ulikaribia kunitoa roho sasa.
Waliongea karibia lisaa lizima namuona anavyojilegeza yaani sijui alijua kuna mteremko.
Baada ya muda warren akanyanyuka akaenda counter alafu akarudi kwa rose.
Baada ya dakika mbili akaja mhudum akanipa simu kisha akanambia yule Kaka ameomba usikilize voice basi mie huyo nikafungua voice nikaanza kusikiliza.
Nyie nikajua ni kwann binaadam n wanyama na sio mauwa yaan rose alikuwa ananichafua mno kwa warren wangu na sikujua n kwann ananjharibia mpaka nikahisi huenda ni yeye aalieniharibia kwa willium.
Voice ilianza hivi ...........
Nakuja..........
BAAMEDI
NO 8.
Umesema unataka kunambia kitu kuhusu marry unaweza kusema nakusikiliza.
Akalegeza saut kisha akasema unajua ww n mwanaume mzuri sana hufai kuwa namwanamke malaya Kama marry,kwanza alishawah kukuambia kama ameshawah kufanya kazi baa akasema rose
Warren akajifanya kushtuka akaswma kuwa hajawah nambia.
Ndio hivyo angalia hizi picha akamuonesha picha ya namna nilivyokuwa navaa.
Hio moja kubwa kuliko alikuwa anaweza kulala na hata wanaume wanne kwwnye chumba kimoja na akafanya nao wote mapenzi yaan nilivyosikia unamahusiano nae nilikuonea huryma sana maana unaenda kuogelea akasema rose,warren akacheka.
Na kuna mbaba alishawah kumchukua tena aliacha counter laki na sio kawaisa akampeleka afanye mapenzi na mbwa wake yaan aliona aibu mpaka akaacha kazi akaendelea kusema Rose yaan muda wote warren yuko kimya.
Alinikashifu mwisho akaanza kujitongozesha kwa warren wangu ety Mara ww n mwanaume mzuri unatakiwa mwanamke anaejua maana ya mapenzi mara unaonekana utakuwa mtamu sana.
Asee nilivurugika.
Warren alikuwa na simu nyingine akanitumia sms inasema njoo nikaenda mpaka alipo Rose na warren na Rose aliponiona alionekana kustuka sana yaan n kama hakutegemea kama naweza kuwa eneo lile.
Akaanza kujichekesha oww shoo za siku nyingi akaswma nilikuwa hata nawezakumjibu,maana nilikuwa nahasira kupita maelezo yaan.
Nikamuangalia alafu nikakaa,boy wangu aliniona siko sawa akawa ananishika shika mgongo kama ananipooza.
N kama rose hakuwa anapenda.
Hivi bado unachukuaga dawa kama kawaida akauliza rose kitu kilichomfanya mpaka warren acheke kisha akasema kwann unaroho mbaya hivyo.
Kwan kuuliza kama anaendaga kuchukua dawa za ukimwi ndio roho mbaya.
Warren akacheka tena.
Marry kakukosea nn akauliza boy wangu mm hapo muda wote nipo kimya nasoma mchezo.
Ananini alichonizidi si umuambie kuwa humtaki tujue tu akaendelea kusema rose kana kwamba anataka kuniumiza.
Warren akanikiss kwenye paji la uso kisha akaaema mm maneno yako hayajawah kunishika hata siku moja maana najua vitimbi vya wanawake ila nilitaka Mke wangu ajue ww ni mtu wa aina gani.
Akaendelea kusema warren.
Nilijsikia faraja Sana kisha akasema najua unamshusha kwa sababu yuko juu yako na hautakaa ufanikiwe kwenye hilo hata siku mija maana maneno ya mtu hayawez kunitenganisha mm na Marry wangu,kwanza Ana bahat kuliko ww maana mwanaume hamtazam Mara mbili naomba nikuambie tu chuki zako haziwez kunibadilisha msimamo wangu maana mm nampenda Sana marry na hakuna kiumbe kinachoweza kunitenganisha nae na ukifanya ujinga wowote Kama unavyofanyaga nakuapia utalala jela.
Nisiwe Muongo nilijisikia aman sana na kujiona na mm n miongon mwa watu bora sana kwa warren wangu.
Rose aliondoka kwa aibu ya kufa mtu.
Na sikujua n kwann Rose alikuwa ananifanyia yote hayo...
Nakuja..........
..
NO 1.
Maisha n safari na huwez jua kesho yako mungu kaipanga kwa namna gani.
Naitwa marry nimezaliwa mm na mdogo Wangu wa kiume pekee,nilipofika kidato cha tatu baba alifariki na wakati huo mdogo wangu alikuwa darasa la sita.
Kiukwel maisha ya nyunban yalibadilika sana.
Mama hakuwa na kazi kipindi chote cha uhai wa baba kwa maana alikuwa mama wa nyumban tu.
Uzuri baba alikuwa kajenga ila hakuwah kumruhusu mama kufanya kazi au biashara yoyote ile.
Mwanzo watu walikuwa wanatusaidia ila baadae maisha yakawa magumu mno na mama alikuwa muoga wa maisha sana yaan anawwza akapata hata laki mbili akaogopa kufungua hata kibiazhara cha genge na kuanza kuibana hio pesa ili itusogeze sogeze.
Haikuwa rahisi mama kufikiria chochote kuhusu biashara na alitegemea kuna watu wanaupendo wataendelea kumsaidia kumbe alichokiwaza sicho maana wanaadam wana mwanzo tu mwisho wanaujua wenyewe.
Mwisho watu waliacha kutoa msaada tukaanza kupambana mama akaenda kutafuta kibarua cha mama ntilie ili walau wanae tule.
Tuliacha kula milo mitatu tukawa tunakunywa uji asubuh na jion ndio Kama tutasonga ugali.
Hali haikuwa hali.
Nilimaliza form four na kwabahat mbaya nilifeli.
Nilianza na mm kutafuta vibarua ili walau nimsaidie mama maana maisha ya nyumban yalikuwa magumu Sana.
Nikaanza na mm kitafuta kazi nikawaomba na mashoga zangu wanitafutie kazi basi nikapata kazi sehemu moja ila ilikuwa baa Arusha huko.
Nikaanza kazi ila kwa kificho maana sikutaka mama yangu ajue kama nafanya hio kazi maana nilihisi hatojisikia vizuri.
Walikuwa wananilipa laki na 20.
Ilikuwa n pesa ndogo sana maana kuna muda mteja anakuja anakutongoza ukimkataa anaenda kukureport kwa meneja.
Na muda mwingine mteja anakuja anakushika hata paja ukikataa anakutukana alafu anaondoka bila kulipa unakuta hilo linakuwa deni lako.
Unaweza ukajikuta kila mwezi umepoteza hata elfu 50 na nihasara kubwa Sana hio.
Na ubaya sikuwa hata na we za kuchukua tips kama wenzangu.
So nilikuwa najikuta naondoka na mshahara tu tena uliokatwa sana.
Ilipita miezi miwili na bado sikuwa nimezoea mazingira ya kazi na bado nilikuwa na aibu aibu.
Kama mnavyojua baa hauwez kuvaa dera na isitoshe nilikuwa na watu ambao walikuwa wananishawishi kuhusu kuvaa so nilikuwa natoka nyumban na nguo ambayo kdg iko vzr nikifika kazin nabadilisha nikiamin kufanya hivyo n kushawishi wateja.
Siku moja alikuja baba mmoja yaan kuanzia ameingia alikuwa kama kalewa hivi akaagiza castlelager nikaenda kumletea.
Nimerudi saa ngapi asinishike paja.
Nyie nikamtoa mkono akasimama akaanza kutukana kuwa Nimemdhalilisha.
Muda huo huo akaja kijana simjua alikuwa mrefu akamkunja kisha akasema usithubutu kumzalilisha mwanamke mbele yangu.
Akaja meneja akaanza kumtukana yule kaka ety kama ananitetea anilipia na aondoke na mm maana anaonekana ananipenda sana.
Yule kaka akatoa noti za elfu 20 kisha akasema nimeshamlipia kingine mnachotaka meneja akakaa kimya kisha yule kijana akaondoka zake yule mzee likamshuka na yeye akanyanyuka akaondoka.
Nakuja..........
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 2.
Yule kaka alinisaidia sana.
Wengine walidhan n Ndg yangu na wengine wakadhan labda alikuwa ananitaka ila mm nilimuacha kila mtu aamin anachokitaka maana huwez kumzuia mtu kuamin jambo analojisikia kuamin.
Lakin chaajabu sikuwah kumuona yule kaka tena yaan n Kama aliletwa tu ilikunitetea basi na kdg Meneja akawa hanitukan tena.
Mazingira yangu angalau yalikuwa yapo vzr pale kazin.
Muda ulienda nkazoea kazi nikawa naweza kuvaa ninachotaka na vitips sivikosi Ila kama mnavyojua mshahara bado ulikuwa mdg na kingine kwenye baa ambayo nilikuwa nafanya kazi mfano mteja akikutaka basi anatoa elfu 10 kwa meneja kisha anaondoka na ww sasa hio kitu mm haikuwah kunikuta.
Sasa sikumoja nipo zangu nahudumia mteja yaan sina hili wala lile akaja mbaba wa makamo akanishika kiuno nilitaman kumtukana nikashangaa meneja wakat huo huo kaja akanambia ety Mary huyo ameshaacha ela kwangu so mnaweza kuondoka nyie nikaona balaa gani hili alafu yule baba akawa ananichekea chekea.
Ni kama sikutegemea yule baba akanishika mkono akanambia mrembo twende.
Asee niligoma maana hata kama nafanya kazi baa lkn mm sio malaya so siwez kwenda nae.
Tukawa pale tunabishana kitu kilichopelekea wateja wote macho yao yawe kwetu nikaona ehee balaa gani hili.
Nikajiambia kuliko kwenda kulala na yule mwanaume yaan bora niache kazi.
Nikaenda kwa meneja nkamwambia mm naacha siwez kulala na huyu mtu.
Nikashangaa meneja ananibembeleza ety ananambia s siku moja tu mbona hukuna madhara yoyote.
Kymbe yule baba alitoa elfu 50 na meneja hakuwa anataka kuzirudisha hizo hela na wakat mm sijawah kufanya mapenz yaan na zikuwa tayar kwenda na nilikuwa naongea kwa hasira.
Kuna mwenzangu mmoja ambae n baa med mwenzangu saa ngapi asiniletee maji ninywe ili nipunguze hasira yaan nikajikuta Kama nimelewa na mm sijawah kunywa hata hizo pombe zenyewe yaan.
Sijui ilikuwaje nimekuja kuaamka nipo pemben ya huyo baba na mapaja yananiuma hatari.
Hapo mama yangu kanipigia simu Mara kibao manaa sikulala nyumban na haijawah kutokea katuma na sms za kuwa na waswas maana sio kawaida na nikawa hata sijui nimjibu nini.
Yule mwanaume akawa anacheka cheka tu ety kumbe kuna mabaamed bikra.
Alikuwa ananitia hasira kinyama yaan anibake alafu anichekee nikumuangalia naona ananitishia na lisura lake.
Usijal mimi unaweza ukanifanya sponsor wako maana mimi nina Mke Ila nitakutunza vzr akawa anasema nikaona ananivuruga tu yaan Kwa maana sikuwa namuelewa chochote kile.
Nikataka kuondoka hapo namwa mapaja yaan mbona hamkunambia kama kutolewa bikra kuna uma hivi nyie nikashangaa katoa kibunda cha kama laki na 60 akanipa kuhesabu n laki na 60 nyie nikasahau shida zote maana hata mshahara wangu sijawah kufika hio pesa akanambia chukua tecx mpaka nyumban nikasema sawa maana kwa nilivyokuwa najisikia nisingeweza kwenda kazin.
Nimefika mama nikamdanganya danganya akaonekana kunielewa basi nikapitiliza chumban kulala hapo sina mawazo ya maradhi wala Nn.
Nakuja
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 3.
Nililala mpaka kesho yake asubuh nikampa mama pwsa kdg nikamuomba aandae supu kweli akaanda nikanywa then nikakaa kaa kdg manaa mtu nikama nilikuwa na hangover.
Pia siku hio sikwenda kazin kwenye mida ya saa nne usiku nikiwa nyumban nimelala simu yangu ikaita kuangalia n namba ngeni nikapokea nikasikia tusi moja matata alafu ety bikra maria mbona sikuoni njoo kwa chimwaga nkusafishe na pesa.
Nikakata simu nikalala zangu.
Asubuh naamka ile kuwasha simu muamala umesoma laki mbili na 70 nyie huyu baba anamajaribu.
Na sms ikaingia naomba leo tukutane nipate ile kitu inabana siku mjibu nikaanza kufanya kazi za nyumban nikamblock kisha nkavunja line nikajisemea nimeshapata mtaji manaa ile kazi n yakudhalilisha Sana.
Nikamfata mama nikamwambia nimesave pesa kdg naomba anishauri tufanye biashara gani.
Akanambia bora tutengeneze kibanda tuwe tunauza kweli tukatengeneza kipanda tukaenda sokon tukachukua vitu kwa jumla yaan tenga la nyanya,debe la vitunguu na vitu vingine,maana nilikuwa na Kama laki nne na mdogo wangu ndio alijenga banda tena bure kabisa.
Tukaanza kutangaza na kupiga kelele kuwa tunauza vitu Kama sokon yaan haina haja mtu kwwnda mbali kupata vitu vingi yaan hata akija kwetu anapata tena bila nauli.
Hatukutegemea watu walikuja wengi na wakawa wanaambizana kuwa mtu akitaka viungo vya mboga aje kwetu tunajaza na kumjazia.
Mungu n kama aliona vilio vyetu vya muda mrefu akaamua afungue Njia na maisha yakaanza kubadilika maana tulikuwa tunauwwzo wakupata hata faida ya elfu 20.
Mama akaja na wazo la kukaanga ndizi na vitu vya kuku na samaki.
Kwsli Mungu aliendelea kushusha nuru kwenye maisha yetu na mambo yakaendelea kwenda vzr tofauti na tulivyotegemea kabisa.
Mdogo wangu alifaulu kidato cha nne,tunamshukuru Mungu pesa ya kumsomesha ilikuwepo.
Akaenda kusoma form five.
Siku moja alikuja mdada mmoja tuliokuwa tunafanya kazi baa kunisalimia hapo ikumbukwe mama yangu hajawah kujua kama nilishawah Kuwa baa medi tukapiga story Ila nilimtoa pemben kdg ili mama yangu asisikie maongezi yetu.
Tukapiga story nyingi kqeli mwisho akanambia ila shoo unabahat.
Nikamuuliza bahat gani akatabasam akanambia siyule mzee kukuhonga pesa zote hizo nikamwambia ndio hivyo.
Mwisho akanambia ila usisahau kutumia dawa maana inasemekana mzee n muathirika na kingine yaan yule Mzee na maradhi aliyonayo lakin haongagi zaidi ya elfu 10 Ila ww amekumwagia mafedha ya kutosha.
Kiukwwli nilishtuka baada yakusikia kuwa alikuwa n muathirika,kengele ya hatar ikacheza kichwan kwangu nikawa najiona nimeshafariki Mimi jaman.
Ila sikuonesha kushtuka maana nawajua wadada niliokuwa nafanya nao kazi baa maana wanachuki wakiona umepata sponsor anaekuhudumia vzr watapambana wamchukue au wakuharibie nikatabasam kisha nikamwambia mwenye nacho huongezewa nikimaanisha kwamba na mm n mgonjwa kitambo labda tu ameongeza virus wa kizungu😀😀
Nikaona n kama hakutegemea jibu langu alafu akajifanya ameshtuka.
Ety don't tell me umeathirika.
Nikaona kaanza kukosa raha hakuwa na aman tena akanyanyuka akaondoka.
Nakuja.......
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 4
Nilikuwa na pressure sana ila nikawa najipa moyo kuwa wivu ndio utakuwa unamzumbua maana nilishaacha kazi ya baa na sasa nasikia faraja kwa kazi ninayoifanya.
Kesho yake nikatoka nikaenda kupima nikajikuta swafi kabisa maana nilikuwa na wasiwasi sana.
Usiku yule rose akanambia unauhakika umeathirika nikajisemea nyoo kumbe wivu n kidonda sasa nitamtesa kisaikolojia mpaka akome.
Nikamwambia ndio 'na kila jumatano tunaenda kuchukua vidonge mamaa so kama umetembea na yule mzee basi karibu chamani nikashangaa amekata simu nikajisemea ehee nimegusa penyewe kabisa..
Basi maisha yangu yakawa yanaendelea na kdg maisha ya nyumban yalibadilika kwa kiasi kikubw.
Muda ulienda hatimae mdg wangu akatimu kidato cha sita tukaenda kwenye graduation yake Mm 'na mama.
Sasa wakat shamra shamra zinaendelea nikamuona kijana mmoja ananiangalia sana na kiukweli sikujua n nani ila pia sikuzingatia sana maana nilihisi anamawazo yake.
Muda ulienda ukafuka muda wa wahitimu kukaa na ndg zake 'na wakat huo ndio ulikuwa n wakat wa kula keki na mavitu tuliyoyaandaa kwaajili ya graduation.
Nikashangaa yule kijana anakuja mpaka nilipokuwa mm,mdogo wangu na Mama na kulikuwa 'na rafiki zake mdogo wangu.
Na mdogo wangu alikuwa anaitwa marcelino.
Yule kijana akasema ila umefanana na dogo nikatabasam tu wala sikumjibu kitu chochote kile
Ticha willium ko Mm nime fanana na mtoto wa kike anauliza marcelino.
Nikajua ahaa kumbe n mwalim huyu sasa mbona yuko kama kachalii tu.
Ila dogo una sista mrembo akasema Sir William kama anavyoitwa wote tukatabasam Mama akaondoka akasema ameitwa kwenye vikoba sasa pale mwanamke nilikuwa Mm pekee yangu.
Nashangaa bado macho ya ticha yako na mm nikajisemea ehee huyu mbona ananiangalia hivi ila nikavunga.
Sasa nilikuwa nimevaa viatu virefu ni kaamka pale nilipokuwepo nikataka niende uwani.
Nyie saa ngapi nisijikwae nikamdondoke Ticha wa watu nikashangaa kanikumbatia kwa nguvu kisha akasema u have such a beutiful smell, nikashangaa mdogo wangu 'na wenzake wanashangilia ety Shemu Shemu kisha akaniachia nikaenda uwani ila nilivyorudi nikajikuta ninaaibu mno.
Kila mtu aliliona hilo so tukafanya mambo chap chap yaan tulilishana keki kisha tukApiga picha Mm nikaondoka zangu.
Maana si tunajua form 6 wanafanyaga kwanza ndio wafanye mitihani
Sikujua kama niliacha habar kubwa sana nyuma yangu kuhusu Sir willium.
Yule mwalim aliweka ukaribu wa hali ya juu 'na mdogo wangu.
Siku marcelino anarudi nyumban alikuja 'na matani yake ila sikujal maana tumeshamzoea.
Tukapiga story mwisho akanipa kibahasha kulikuwa na barua na saa.
Barua ilisema hivi........
Nakuja.......................
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 5.
Mrembo nimeambiwa unaitwa Mary yaan jina lako lina fanana na urembo wako hakika Mungu alikuumba akiwa hana hekaheka.
Huo n utangulizi 😀😀
Najua nimeshakutana 'na wanawake wengi na wenye sifa nyingi ila toka nimekutana na ww hakika moyo wangu umepata msisimko wa kipekee,naomba kusema kuwa nahisi nakupenda na sio kuhisi nakupenda tu ila nadhani watoto wangu wanatakiwa kucheza kwenye tumbo langu.
Namba zako za simu ninazo so kama unahisi unafaa kuanzisha mahusiano na mm basi namba zangu n 0658 0.........
Naomba usinifanye nisubiri sana nakupenda by mumeo willium.
Sijui kwann ile barua ilinisisimua sana yaani kwa namna ya kipekee sana.
Nikachukua namba nikazisave nikawa najiuliza nimtafute au nisimtafute.
Mdogo wangu sasa akawa ananipamp ety mwalim wake kanielewa nisimtese.
Kwakuwa sikuwa na mahusiano nikaona acha nikubali.
Basi nikamtumia sms ya hi kama wiki moja toka nilipopokea ile barua.
Akapiga wakati huo huo akanambia hellow mke wangu nilikuwa nasubiri simu yako kwa hamu kubwa sana,naingia kwenye kipindi nikitoka nitakutafuta nikasema sawa.
Basi kweli mida ya jioni kama saa 11 hivi akanipigia akaanza kunambia n namna gani ananipenda na ninamna gani anatamani kuwa na Mm kwenye maisha yake yote nikawa nimetulia tu namsikiliza maneno yake.
Mwisho akaniuliza Mary do u love me.
Nikawa kimya kwa dakika kadha kisha nikamjibu kuwa nahisi moyo wangu unadunda sana kila nikimfikiria.
Alicheka akanambia asante.
Penzi likaenda likataradad kweli kweli.
Ikapangwa siku ya utambulisho walikuja kwetu willium 'na wazee wake baada ya hapo ikaandaliwa kitafrija kdg cha kuvalishana pete na hapo mambo ndipo yalipoharibika maana kabla sijavalishwa pete tykawa tumetoka mbele tuanze hilo zoezi saa ngapi asitokee mlevi sijui wa wapi akaanza kuongea kwa sauti kubwa kiasi kana kwamba kila mtu akaacha alichokuwa anafanya akamgeukia na kumzikiliza anataka kusema nn.
BAamed unavishwa pete akialai Kaka umekurupuka saa 12 jioni mtu ameshatumiwa wee sasa hivi ndio Unataka umuoe akaangusha picha kama tatu chini kisha akaondoka.
Walienda kuziokota na zilikuwa n picha zangu kipindi nafanya kazi ya ubaamed.
Hakuna aliotegemea hilo maana zikuwah kumuambia hata Mama yangu Mzaz kama nilishawah kufanya kazi baa.
Walishikwa na butwaa watu wote maana hakuna aliekuwa anajua kama nimeshawah kufanya kazi baa.
Mama akaniuliza mwanangu Mm nakuamin ww nambie umeshawah kufanya kazi baa nikawa kimya maana sikujua hata natakiwa kujibu nini.
Kila kitu kiliishia hapo watu wote wakaanza kutawanyika.
Niliogopa hata kumfata Mama kuongea nae maana alionekana kama kaumia sana.
Zilipita kama siku tatu siongei na Mama baadae nikamfata nikamueleza mkasa mzima.
Alisikitika sana kisha akanambia najua ni maisha ndio yalikufanya uuwe hivyo Mm naelewa mwanangu ila angalau ungenambia maana nimeumia kwa kujua kwamba ulishawah kujitoa kafara kwaajili ya familia yako akasema.
Nambie ulipima akaniuliza nikamjibu ndio nilipima akaniangalia kisha akanikumbatia akaanza kulia tukajikuta tunalia wote.
Tulilia mwisho akanambia mwanangu najua ulifanya hivi kwajili ya familia yako Mm sina shida ila bora ungenambia mapema nijue.
Sikuwa hata nnachakusema.
Umeshapima akaniuliza mama.
Nikamjibu ndio.
Kesho yake Willium akanipigia akaomba tukutane nukatoka nikaenda mpaka aliposema tukutane kisha akaniuliza kwann sikumwambia mapema nikamjibu kuwa niliona jambo limeshapita so hakuna haja ya kulizungumzia.
Akatoa pete aliyopanga kkunivalisha akanivalisha baada ya hapo akasema mm nakupenda sana ila hili jambo limeleta mgawanyiko kwenye famulia yangu ila tumuombe Mungu atupigane.
Tukala tukapiga story mbili tatu kisha tukaagana.
Nakuja...................
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 6.
Nikarudi nyumban.
Mambo yalikuwa kawaida kati yangu na willium kana kwamba hakuna kilichotokea kwa miezi kama sita tu baada ya hapo akaanza kuwa biZze yaan unaweza ukampigia akakuambia ntakupigia baadae na asipige hata kwa siku mbili yaan ukituma sms anaweza akaijibu kesho yake..
Nikiomba kuonana nae ananikwepa yaan hata kuonana ilikuwa n mtiti..
Nikisema nisimtafute ndio nitolee yaan hana muda.
Siku moja akaomba tukutane nikasema ngoja na Mm nitingishe kiberit nikampa udhuru.
Nyie maneno yalimtoka yaan alinipigia akaanza nilijua tu mabaamed hawawezi kumtuliza mwanaume yaan ushazoea saiz tofauti Mm nitakurudhisha vipi.
Niambie unamasponsor wangapi maana ndio zenu baamedi hizo.
Nikashangaa maneno yote yametokea wapi.
Kwanza bora wazaz wangu wananipenda nimepata mwanamke mwenye adabu anaejua thaman ya mke na sio wewe changudoa akasema.
Sasa n hivi Mm hivi karibuni naenda kuoa naomba hii namba uione kama kituo cha polisi na usije ukanisumbua maana Mm n mke wa mtu mtarajiwa.
Nikashangaa n kweli ameshindwa kuongea 'na Mm kistaarabu mpaka maneno yamtoke kiasi chote hicho ila any way nilishaona dalili za kuachwa so nikamjibu sawa maisha mema.
Ona unavyojibu kama hujal nikaona nikate simu tusiharibuane siku..
Niliumia kiukweli maana nilikuwa nampenda mno willium
Ila nikaona niache maisha yangu yaendelee maana kisichoridhiki hakiliki.
Nikafocus kwenye biashara maana niliona ndio mpenzi wa pekee nilie nae.
Nikaanza kukaanga ndizi na mihogo asubuhi 'na jioni ili genge liwe la mama Mm nisihangaike nalo.
kweli mungu akawa ananisaidia napata vielfu tano vyangu.
Muda ulienda na willium alinichafua ila sikujal maana maneno na majungu yake yakawa yananipa nguvu za kuendelea kupambana kwaajili ya maisha yangu.
Basi muda ulienda mdogo wangu akamaliza chuo maana alikuwa anasomea engeneering Mungu sio athumani alivyomaliza tu akapata kazi.
akabadilisha kabisa maisha ya nyumban akaiweka nyumba yetu kwa aina ya kisasa zaidi.
Akafanya lile genge liwe haiclasaic nyie shida tukazipiga teke.
Wakat huo Mm nilikuwa na miaka 29 yeye alikuwa na 24 na kapata kazi.
Basi sikumoja kulikuwa na party kazini kwao akaja akanichukua maana Mm ninamwili mdogo kuliko mdogo wangu.
Akaenda kunipiga makeup ya maana akanivalisha 'na nguo hizo.
Nyie tukatoka hao 'na mdogo wangu tumeshikana mikono wenyewe kwa raha zetu.
Kufika akatakiwa kupewa tuzo ya kijana mwenye umri mdogo 'na muda mchache kazini alie iinua campun kwa muda mchache akatoka 'na Mm akataka kwenda na Mm mbele.
Yaani nilikuwa naona aibu vibaya mno.
Tukatoka akashukuru viongozi wake 'na watu anaofanya nao kazi mwisho akasema shukrani zangu kubwa ziende kwa Mama yangu Mzaz ambae ndio kasababisha mpaka watu wote wananijua sasa kwa kunizaa na kkunipambania kwa kiasi kikubwa sana.
Nashukran zangu kwa huyu mwanamke yaani alivyoanza kunitambulisha watu wote walijua n mchumba wake.
N mwanamke ambae anajua chozi langu,n mwanamke anaejua nguvu ya jasho langu.
Nimwanamke aliejinyima baada ya Mama yangu hakula wala kunywa kwa raha kwaajili ya furaha yangu na si mwingine bali n Dada yangu kipenzi Mary.
Watu walipiga makofi hapo tukashikana mikono ttukaenda kukaa nyie kuwa na Kaka mzungu n raha nyie.
Basi kuna muda alitoka akaenda kujumuika na wafanyakazi wenzake.
Akaja kijana wa makamo mwenye kama miaka 35 akanifata.
Tukaanza kupiga story na alionekana amechangamka sana.
Tukapiga story mwisho akanambia n kweli umwfanana na dogo ila mnapendana sana.
Nikacheka akanambia naomba mawasiliano yako.
Huwa sina kawaida ya kutoa namba zangu ila akanibembeleza sana mwisho nikaona nimpe tu namba za simu.
Mara akaja marcelino mdogo wangu akasema meneja.
Nimukuja kumpa company mrembo maana umwmuacha mwenyewe au unataka aibiwe maana wezi tupo akasema tukacheka kisha akaondoka zake.
Tulirudi nyumban usiku sana na kiukweli nilikuwa nimechoka mno sikuwa na muda na simu kabisa.
Asubuhi nimeamka nikakuta missedcall 3 na sms mbili kutoka kwenye namba ngeni.
Sms ya kwanza ilikuwa inasema mrembo umeshafika.
Ya pili pokea basi simu zangu nateseka mwenzio
Kiukweli sikutilia maanan maana sikuwa hata na mawazo ya meneja nikawa naendelea 'na shughuli zangu.
Kwenye kama saa tano asubuhi nikasikia simu inaita
Kupokea nikasikia sauti inasema nimefurahi kusikia sauti yako yaani kumbe unasaut ya kusisimua hivi.
Nani mwwnzangu nikamuuliza.
Naitwa warren n yule Kaka tuliokuwa tunapiga story jana.
Oww meneja nikasema
Usinipe cheo hivyo bn Mm sio meneja wanapenda tu kunitanua.
Basi tukapiga story mwisho akanambia naomba usimwambie dogo kama nimekupigia.
Nakuja...............
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
SEHEMU YA 7.
Basi alikuwa ananipa company sanaa ila alikuwa kama rafiki tu yaan ila tulikuwa tunaaweza kutoka tunaenda kupata lunch au dinner yaan ilikuwa n full burudani yaan.
Basi tulienda tukaja tukawa marafiki wazuri sana yaan kiasi kana kwamba tunashare moment za furaha na huzuni na alikuwa anaishi kawaida sana mpaka na Mm nikaamin sio meneja maana tulikuwa tunaeza kwwnda kwa mamantilie tukala na hakuwa na shida wala kinyaa au dharau.
Siku moja akaniomba tuonane kama saa 11 na Mm sikuwa na hiana nikatoka nikaenda kuonana nae.
Alikuwa kabadilika sana tofauti na kawaida.
Alikuwa na utulivu sana kisha akaniuliza naomba unambie kuhusu ww .
Nilishangaa kwann ameniuliza hivyo ila nikaona it ok nisimfiche kitu nikamwambia kuanzia maisha yangu mpaka nilivyofanya kazi baa nikawa naogopa sana reaction yake.
Lakin alitabasamu kisha akasema mamaa nakupenda.
Nilishtuka maana licha ya kuona dalili nyingi ila niliamin n rafiki tu wakawaida tu.
Nikajikuta naona aibu sana yaan.
Akaninyanyua uso kisha akanambia naomba niangalie Mamy unijibu ukiwa unanitazama usoni.
Nikazidi kuona aibu maana kama kichwa haikuwa yangu.
Akajisogeza akanikiss kwenye lips.
Nikatulia kisha akanambia naomba uwe wangu pekee yangu maana nakupenda sana.
Nikamuuliza lakini nilishawah kuwa baamed
Akaniangalia kisha akasema
Umesema ulikuwa kwamaana n kitu kilichopita na hata kama ungekuwa unajiuza lakini Mm siangaliag mambo yaliyopita mamaa Mm nakupenda akasema nikasema whee mambo si ndio hayo yaan m.mwendo wa kula huku unakula akaendelea kusema warren angalau nikafarijika sana.
Penzi likataradad sasa hapa ndio nilijua uhalisia wa warren alikuwa analipwa mshahara mkubwa mara nne ya mshahara aliokuwa analipwa mdogo wangu na yeye alifika kwenye millioni na kitu.
Alianza kunihudumia,alinitafutia simu kali na mafuta ya bei kubwa nyie nilianza kumeremeta sio mchezo yaani unaweza ukadhan sio mm.
Nikaanza kuwa wa gharama mtanitaka sasa.
Basi sikumoja akanambia anaubuyu tukutane sehemu anipe nyie achen maanaalikuwa kama mmbea mwenzangu akanikalisha sehemu akanambia chochote nitakachokiona nisinyanyuke wala kushtuka.
Nilikuwa nimekaa kwenye kona hivi.
Basi kweli baada ya muda nikashangaa namuona rose yule bint ambae nilikuwa nafanya nae kazi baa alikuwa kavaa hovyo sanaa 'na Vile mungu kamjalia choo basi n tafran kabisa.
Akaenda kukaa pemben ya warren nyie karoho kalikuwa kananidunda balaa na wivu ulikaribia kunitoa roho sasa.
Waliongea karibia lisaa lizima namuona anavyojilegeza yaani sijui alijua kuna mteremko.
Baada ya muda warren akanyanyuka akaenda counter alafu akarudi kwa rose.
Baada ya dakika mbili akaja mhudum akanipa simu kisha akanambia yule Kaka ameomba usikilize voice basi mie huyo nikafungua voice nikaanza kusikiliza.
Nyie nikajua ni kwann binaadam n wanyama na sio mauwa yaan rose alikuwa ananichafua mno kwa warren wangu na sikujua n kwann ananjharibia mpaka nikahisi huenda ni yeye aalieniharibia kwa willium.
Voice ilianza hivi ...........
Nakuja..........
BAAMEDI
NO 8.
Umesema unataka kunambia kitu kuhusu marry unaweza kusema nakusikiliza.
Akalegeza saut kisha akasema unajua ww n mwanaume mzuri sana hufai kuwa namwanamke malaya Kama marry,kwanza alishawah kukuambia kama ameshawah kufanya kazi baa akasema rose
Warren akajifanya kushtuka akaswma kuwa hajawah nambia.
Ndio hivyo angalia hizi picha akamuonesha picha ya namna nilivyokuwa navaa.
Hio moja kubwa kuliko alikuwa anaweza kulala na hata wanaume wanne kwwnye chumba kimoja na akafanya nao wote mapenzi yaan nilivyosikia unamahusiano nae nilikuonea huryma sana maana unaenda kuogelea akasema rose,warren akacheka.
Na kuna mbaba alishawah kumchukua tena aliacha counter laki na sio kawaisa akampeleka afanye mapenzi na mbwa wake yaan aliona aibu mpaka akaacha kazi akaendelea kusema Rose yaan muda wote warren yuko kimya.
Alinikashifu mwisho akaanza kujitongozesha kwa warren wangu ety Mara ww n mwanaume mzuri unatakiwa mwanamke anaejua maana ya mapenzi mara unaonekana utakuwa mtamu sana.
Asee nilivurugika.
Warren alikuwa na simu nyingine akanitumia sms inasema njoo nikaenda mpaka alipo Rose na warren na Rose aliponiona alionekana kustuka sana yaan n kama hakutegemea kama naweza kuwa eneo lile.
Akaanza kujichekesha oww shoo za siku nyingi akaswma nilikuwa hata nawezakumjibu,maana nilikuwa nahasira kupita maelezo yaan.
Nikamuangalia alafu nikakaa,boy wangu aliniona siko sawa akawa ananishika shika mgongo kama ananipooza.
N kama rose hakuwa anapenda.
Hivi bado unachukuaga dawa kama kawaida akauliza rose kitu kilichomfanya mpaka warren acheke kisha akasema kwann unaroho mbaya hivyo.
Kwan kuuliza kama anaendaga kuchukua dawa za ukimwi ndio roho mbaya.
Warren akacheka tena.
Marry kakukosea nn akauliza boy wangu mm hapo muda wote nipo kimya nasoma mchezo.
Ananini alichonizidi si umuambie kuwa humtaki tujue tu akaendelea kusema rose kana kwamba anataka kuniumiza.
Warren akanikiss kwenye paji la uso kisha akaaema mm maneno yako hayajawah kunishika hata siku moja maana najua vitimbi vya wanawake ila nilitaka Mke wangu ajue ww ni mtu wa aina gani.
Akaendelea kusema warren.
Nilijsikia faraja Sana kisha akasema najua unamshusha kwa sababu yuko juu yako na hautakaa ufanikiwe kwenye hilo hata siku mija maana maneno ya mtu hayawez kunitenganisha mm na Marry wangu,kwanza Ana bahat kuliko ww maana mwanaume hamtazam Mara mbili naomba nikuambie tu chuki zako haziwez kunibadilisha msimamo wangu maana mm nampenda Sana marry na hakuna kiumbe kinachoweza kunitenganisha nae na ukifanya ujinga wowote Kama unavyofanyaga nakuapia utalala jela.
Nisiwe Muongo nilijisikia aman sana na kujiona na mm n miongon mwa watu bora sana kwa warren wangu.
Rose aliondoka kwa aibu ya kufa mtu.
Na sikujua n kwann Rose alikuwa ananifanyia yote hayo...
Nakuja..........
..