Riwaya: Bondia

Casuist hii kitu imetulia sana mpaka muuza ubuyu anaiba muda wa boss wake ili tu aje kushuhudia mpambano.
 
Last edited by a moderator:
aisee inabidi nirudi dar fasta kuchek pambano,,,, dah yani nimejenga taswira kichwani kwamba ni ukweli dah kumbe ni simulizi,,, natamani ingekua ni ukwelii.. weka nyingine mkuu.. dreams might come true.. loll
 
daaaahhh....kumbe deus alivunjwa tayaaaa...ndo maana anaogopaaaaaaa....hahahahh...nasubili siku ya pambano sijui itakuwajee...
 
Af Casuist nikutanishe na Roman bwana...kule kwake Bagamoyo naona anakaa mpweke mpweke nataka nikawe namsaidia kufanya usafi ndani kwake
 
Last edited by a moderator:
Af Casuist nikutanishe na Roman bwana...kule kwake Bagamoyo naona anakaa mpweke mpweke nataka nikawe namsaidia kufanya usafi ndani kwake

we nenda ukutane na kate kavimba kwenye sofa
 
Last edited by a moderator:
Insp kashajua lazima mauaji ulingon kwa marafik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…