na kwa nje inspekta fatma nae anataman nyie c mnapenda mbavu nene kama sie vimbaumbau tupa kule
Insp kashajua lazima mauaji ulingon kwa marafik
deus ni muuaji wa dada wa roman ... hivyo njia pekee ya kulipiza kisasi ni ulingoniAcha kabisa...ile ngumi ya kushoto lazima itumike dadek..
deus ni muuaji wa dada wa roman ... hivyo njia pekee ya kulipiza kisasi ni ulingoni
na ukifa ulingoni haina kesi
deus ni muuaji wa dada wa roman ... hivyo njia pekee ya kulipiza kisasi ni ulingoni
na ukifa ulingoni haina kesi
na ndo maana insp anajitahidi kuzuia kwa vile anaelewa historia zao
aisee inabidi nirudi dar fasta kuchek pambano,,,, dah yani nimejenga taswira kichwani kwamba ni ukweli dah kumbe ni simulizi,,, natamani ingekua ni ukwelii.. weka nyingine mkuu.. dreams might come true.. loll
Anauliza unataka kwenda lini!
Nyoo mmeambiwa msimulie???? Hadithi si inakuja wote tutasoma ama..???
Mhhhh!Casuist cha kuamkia bwana....
Mhhhh!
Yan hata sasa hivi aisee