😛eep:Khaaa Casuist fupi sana bwana....
😛eep:
Kwahiyo ndo mpaka lini tena??
Hahahaa mbalu na wewe wa kunifanyia hivi kweli?? Umeanza tabia mbaya kama muuza ubuyu?
Mi sijui ila nnachojua ya leo fupi
jamani my wi fi to be hujambo lakini?
Fupi tamu, ndefu inakera...........
Ya Roman haikeri hata...
Baadae/Kesho...
hahahaaa hahaaaa....kama mna watoto chunga kuitangaza ya Roman....mujini hapa.