Riwaya JOKA KUU ya mwandishi J S KIDOGO. huenda inapotosha ukweli kuhusu Vita ya Kagera.

Riwaya JOKA KUU ya mwandishi J S KIDOGO. huenda inapotosha ukweli kuhusu Vita ya Kagera.

Jumakidogo

R I P
Joined
Jul 16, 2009
Posts
1,851
Reaction score
420
Ni shabiki wa kusoma riwaya, lakini nimekuwa mvivu siku hizi baada ya uandishi wa riwaya kufifia tofauti na zama za kina Willy Gamba. Juzi nimepata bahati ya kusoma riwaya inayoitwa Joka kuu Kagera mpaka Maputo ambayo nimemkuta nacho kitabu hicho rafiki yangu mmoja akikifanyia tafsiri katika lugha ya kifaransa. Japo yaliyoandikwa humo ni hadithi inayodaiwa kuwa ya kubuni ambayo kwa hakika imeandikwa kwa umahiri mkubwa na mvuto katika kuisoma. Lakini yaliyoandikwa humo huenda yakawa yanapotosha ukweli kuhusu vita ya Kagera, ni vigumu kujua siri hiyo. Ama labda mwandishi ameleta mjadala kutokana na hadithi za mapokeo kutoka upande wa pili wa shilingi. Kama hayo ni kweli, basi kazi ilikuwepo...
 
Ni shabiki wa kusoma riwaya, lakini nimekuwa mvivu siku hizi baada ya uandishi wa riwaya kufifia tofauti na zama za kina Willy Gamba. Juzi nimepata bahati ya kusoma riwaya inayoitwa Joka kuu Kagera mpaka Maputo ambayo nimemkuta nacho kitabu hicho rafiki yangu mmoja akikifanyia tafsiri katika lugha ya kifaransa. Japo yaliyoandikwa humo ni hadithi inayodaiwa kuwa ya kubuni ambayo kwa hakika imeandikwa kwa umahiri mkubwa na mvuto katika kuisoma. Lakini yaliyoandikwa humo huenda yakawa yanapotosha ukweli kuhusu vita ya Kagera, ni vigumu kujua siri hiyo. Ama labda mwandishi ameleta mjadala kutokana na hadithi za mapokeo kutoka upande wa pili wa shilingi. Kama hayo ni kweli, basi kazi ilikuwepo...

Wewe ni mnafiki, Riwaya hiyo imewahi kuchapishwa gazetini. Haina upotoshaji wowote kwani haielezei moja kwa moja vita ya Kagera. Bali ni historia ya maisha ya askari aliyepigana vita hiyo. Hukuwa makini!
 
Ni shabiki wa kusoma riwaya, lakini nimekuwa mvivu siku hizi baada ya uandishi wa riwaya kufifia tofauti na zama za kina Willy Gamba. Juzi nimepata bahati ya kusoma riwaya inayoitwa Joka kuu Kagera mpaka Maputo ambayo nimemkuta nacho kitabu hicho rafiki yangu mmoja akikifanyia tafsiri katika lugha ya kifaransa. Japo yaliyoandikwa humo ni hadithi inayodaiwa kuwa ya kubuni ambayo kwa hakika imeandikwa kwa umahiri mkubwa na mvuto katika kuisoma. Lakini yaliyoandikwa humo huenda yakawa yanapotosha ukweli kuhusu vita ya Kagera, ni vigumu kujua siri hiyo. Ama labda mwandishi ameleta mjadala kutokana na hadithi za mapokeo kutoka upande wa pili wa shilingi. Kama hayo ni kweli, basi kazi ilikuwepo...

Wewe kweli hamnazo, tatizo lako nimegundua kuwa ni hilo hapo juu. UVIVU wa kusoma riwaya ndiyo umekupelekea kusoma hadithi hiyo pasipo umakini. Naomba usiwapotoshe watu bila ya sababu. Mimi ndiye niliyeandika kitabu hicho. Hadithi inaitwa JOKA KUU, KAGERA MPAKA MAPUTO. Si kweli kuwa inaelezea vita yote ya Kagera. Inaelezea maisha ya askari aliyepigana vita hiyo kwa upande wake, kisha akajiunga na vikosi vya Tanzania vilivyokuwa Msumbiji baada ya kutoroka kesi ya mauaji ya askari mwenzake baada ya vita. Askari huyo anasimulia sehemu yake ya mapambano tu katika uwanja wa vita na wala siyo eneo lote la vita. Japo mazingira ni ya kweli. Lakini hadithi ni ya kubuni kama ilivyo ZAWADI YA USHINDI ya marehemu BEN R MTOBWA. Usipotoshe watu hapa, leo hii tunaweza kusema Ben Mtobwa aliandika upotoshaji kwa sababu hadithi yake ya kubuni tu?
 
Wewe kweli hamnazo, tatizo lako nimegundua kuwa ni hilo hapo juu. UVIVU wa kusoma riwaya ndiyo umekupelekea kusoma hadithi hiyo pasipo umakini. Naomba usiwapotoshe watu bila ya sababu. Mimi ndiye niliyeandika kitabu hicho. Hadithi inaitwa JOKA KUU, KAGERA MPAKA MAPUTO. Si kweli kuwa inaelezea vita yote ya Kagera. Inaelezea maisha ya askari aliyepigana vita hiyo kwa upande wake, kisha akajiunga na vikosi vya Tanzania vilivyokuwa Msumbiji baada ya kutoroka kesi ya mauaji ya askari mwenzake baada ya vita. Askari huyo anasimulia sehemu yake ya mapambano tu katika uwanja wa vita na wala siyo eneo lote la vita. Japo mazingira ni ya kweli. Lakini hadithi ni ya kubuni kama ilivyo ZAWADI YA USHINDI ya marehemu BEN R MTOBWA. Usipotoshe watu hapa, leo hii tunaweza kusema Ben Mtobwa aliandika upotoshaji kwa sababu hadithi yake ya kubuni tu?

Ufafanuzi wako umeeleweka
 
Wewe kweli hamnazo, tatizo lako nimegundua kuwa ni hilo hapo juu. UVIVU wa kusoma riwaya ndiyo umekupelekea kusoma hadithi hiyo pasipo umakini. Naomba usiwapotoshe watu bila ya sababu. Mimi ndiye niliyeandika kitabu hicho. Hadithi inaitwa JOKA KUU, KAGERA MPAKA MAPUTO. Si kweli kuwa inaelezea vita yote ya Kagera. Inaelezea maisha ya askari aliyepigana vita hiyo kwa upande wake, kisha akajiunga na vikosi vya Tanzania vilivyokuwa Msumbiji baada ya kutoroka kesi ya mauaji ya askari mwenzake baada ya vita. Askari huyo anasimulia sehemu yake ya mapambano tu katika uwanja wa vita na wala siyo eneo lote la vita. Japo mazingira ni ya kweli. Lakini hadithi ni ya kubuni kama ilivyo ZAWADI YA USHINDI ya marehemu BEN R MTOBWA. Usipotoshe watu hapa, leo hii tunaweza kusema Ben Mtobwa aliandika upotoshaji kwa sababu hadithi yake ya kubuni tu?

Mkuu jk hongera sana!
 
Nimeipitia yote.Ni riwaya ya kubuni.Kitu cha kubuni hakiwezi kupotosha UKWELI kwa sababu si kisa cha kweli.Jamaa amebuni kisa kinachomhusisha askari aliepigana vita ya Kagera na wala hajasimulia vita kama vita.Nadhani kilichokuchanganya ni matumizi ya meneo ya kweli ambapo vita ilipiganwa.Hakuna upotoshaji wowote pale.Jamaa ni kati ya watunzi bora waliopo kwa sasa.
 
Back
Top Bottom