Riwaya: Msako wa Hayawani

Nimecheka sana, kwa sababu ni member wa ukweli sisemi neno.!

Si unajua jokes ni nzur kweny maeneo ya burudan kama haya, tunataniana siku zinaenda, haiwezekan makazin tukawa serious had hku pia?
 
Ngoja nijipige ban ya wiki kadhaa nikirudi itakuwa imeisha..
 
Hii riwaya tamu balaa! Daah! Kwahyo itatuijia lini tena?
 
Kamata uyo panya...minya minya sana ateme iyo karatas asee...watu wanakaribia pasuka uku kwa hasira arif...
 
Kwa taarifa za kiintelijensia nilizopata kutoka chanzo cha kuaminika ni kwamba mkuu idawa anaandika soon atakuja hapa kutupa uhondo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…