Riwaya ''utashi ni mtu''

Riwaya ''utashi ni mtu''

Nyakarungu

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
472
Reaction score
377
RIWAYA YA ''UTASHI NI MTU''
Baada ya kuzitazama zile nyasi zinavyopendeza mwituni ili hali kijana ''Bano wa masaa'' akiwa hana viatu vya kumkinga na miiba na dudu washa waliosheheni msituni humo, aliamua kurudi kwa kasi kikosini na kuchukua kiberiti chenye njiti 3(zote zikiwa na maana) aliamua kuchoma msitu ule bila kujali wala kuogopa sheria kali za kijiji cha PM 7 chenye sheria kali ya kunyonga yeyote anaebainika kuchoma nyasi au msitu, alichoma nyasi zile ili mradi tu apate kupita kirahisi kuliendea gogo lake la mkaratusi wenye kutoa harufu kali yenye mvuto linapowashwa ndani ya nyumba..... huku akiwa bado ameshangaa eneo la tukio akingojea majivu yapoe ili akatize mbuga ile ya masaliani kuliendea gogo, alijikuta mikononi mwa sungusungu waliomuweka chini ya ulinzi, alijitahidi kujitetea na kudanganya kuwa sio yeye aliyechoma bali anamjua mchomaji, ila alipotazamwa mkononi alikuwa bado ana kiberiti chake mkononi,..Afande Mchangeli akamuuliza, arooo!!!! unavutaga sigara!!!!!? Bano akajibu hapana,...... NI KISA CHA KWELI CHENYE KUSISIMUA SANA FUATANA NAMI UTAPATA UHONDO WOTE KILA SIKU ILA UTAMU HALISI NI MWISHO WA MWEZI HUU KITATOKA, NAAMINI KITABAMBA.
 
RIWAYA YA ''UTASHI NI MTU''
Baada ya kuzitazama zile nyasi zinavyopendeza mwituni ili hali kijana ''Bano wa masaa'' akiwa hana viatu vya kumkinga na miiba na dudu washa waliosheheni msituni humo, aliamua kurudi kwa kasi kikosini na kuchukua kiberiti chenye njiti 3 (zote zikiwa na maana) aliamua kuchoma msitu ule bila kujali wala kuogopa sheria kali za kijiji cha PM7 chenye sheria kali ya kunyonga yeyote anaebainika kuchoma nyasi au msitu, alichoma msitu ili mradi tu apate kupita kirahisi msituni humo kuliendea gogo lake la mkaratusi wenye kutoa harufu kali yenye mvuto linapowashwa ndani ya nyumba..... huku akiwa bado ameshangaa eneo la tukio akingojea majivu yapoe ili akatize mbuga ile ya masaliani kulifuata gogo, alijikuta mikononi mwa sungusungu waliomuweka chini ya ulinzi, ajitahidi kujitetea na kudanganya kuwa sio yeye aliyechoma bali anamjua mchomaji huku akitetemeka, na alipotazamwa mkononi alikuwa bado ana kiberiti chake,..Afande Mchangeli akamuuliza, arooo!!!!! unavutaga sigara!!!!!? Bano akajibu hapana,...... NI KISA CHA KWELI CHENYE KUSISIMUA SANA FUATANA NAMI UTAPATA UHONDO WOTE KILA SIKU ILA UTAMU HALISI NI MWISHO WA MWEZI HUU KITATOKA, NAAMINI KITABAMBA.
 
mniunganishe wapi, mkiwa na nani na niseme nini@dada/kaka mkeshaji
 
mniunganishe wapi, mkiwa na nani na niseme nini@dada/kaka mkeshaji
Kwenye riwaya.

Halafu hiyo nafsi ya kwanza wingi wala isikutishe. Nimeitumia kisanii kama wewe ulivyoandika riwaya yako kisanii. Hii ni sanaa bwana sasa ulitaka nitumie lugha gani?
 
Nyakarungu

Hii Riwaya inapendeza, sana na itakuwa fundisho kwa wale wanaopenda kutafuta njia za mkato na kuwa ndumila kuwili katika kupita njia zenye ugumu.

Huyu alifikiri kuwa hatojulikana lakini ushahidi wa mkononi mwake ukamuumbua.


Malizia ni nini kilifuata baada ya kukamatwa na ushahidi mkononi mwake.



MIZAMBWA
NABII MTARAJWA!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mods rudisheni hii thread kwenye jukwaa la siasa. ndo mahali pake
 
dada/kaka, mkeshaji, nimeshasema mimi kwenye riwaya yangu, ndio inakuja hivyo mapema mwezi ujao itakuwa tayari, haya sema sasa au niunganishe kwenye yako kama unavyodai
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom