Vipi kuhusu Eric James Shigongo? Mbona anaandika sana hadithi, je yeye siyo gwiji kuzidi akina Hammie Rajab, Ben Mtobwa na Eddie Ganzel? Kuna watu wanadai kuwa anatafsiri riwaya za watu wengine je ni riwaya zipi?nkwenye ushahidi kuwa anakopi amwage hapa la sivyo JF imtambue kama magwiji wengine wa riwaya za Kiswahili Kama akina Agoro Anduru au John Rutaisingwa au Elvis Musiba
Vipi kuhusu Eric James Shigongo? Mbona anaandika sana hadithi, je yeye siyo gwiji kuzidi akina Hammie Rajab, Ben Mtobwa na Eddie Ganzel? Kuna watu wanadai kuwa anatafsiri riwaya za watu wengine je ni riwaya zipi?nkwenye ushahidi kuwa anakopi amwage hapa la sivyo JF imtambue kama magwiji wengine wa riwaya za Kiswahili Kama akina Agoro Anduru au John Rutaisingwa au Elvis Musiba
mtafsiri wa riwaya za watu wengine kwa kupachika majina ya watu, mazingira na mitaa ya bongo huwezi kumwita mtunzi wa hadithi. Ni mwizi wa kazi za wengine
mtafsiri wa riwaya za watu wengine kwa kupachika majina ya watu, mazingira na mitaa ya bongo huwezi kumwita mtunzi wa hadithi. Ni mwizi wa kazi za wengine
Evidence please!! Usiandke vitu kwa kua simu yako inabatani
Acha maneno mengiete ushahidi wa kazi alizoiba (kuzifanya kwa kiswahili kisha kusema zake)baada ya hapo utaaminika.kwa kuwa wewe pimbi unatumia simu kubrowse internet unadhani kila mtu anafanya hivyo...gadem you.
Unamaanisha nini mkuu?"Plagiarism"
Kwenye Journalism hiyo ina maana kucopy kazi ya mtu na kujimilikisha bila kum-Acknowledge yule mwenye kazi yake,,Unamaanisha nini mkuu?
Asante kwa kunipa maelezo mazuri.Kwenye Journalism hiyo ina maana kucopy kazi ya mtu na kujimilikisha bila kum-Acknowledge yule mwenye kazi yake,,
Pamoja sana mkuuAsante kwa kunipa maelezo mazuri.
Nilikuwa sijui
Kwahiyo jamaa yeye sio mtunzi bali ni mwandishi tu????Pamoja sana mkuu
Kwa mijibu wa maoni ya watu wengi ndo wanavosema,,but am not real sure..Kwahiyo jamaa yeye sio mtunzi bali ni mwandishi tu????