Mwanangu kila mtu na riziki yake, kuna mtu ana hela balaa kila kijana alikuwa anatamani awe kama huyu mtu. Huyu jamaa alipofikwa na maradhi kila mtu kabakia kumuonea huruma.Mbona sisi tunaamia hivo hivo ila tunakula za uso jameni...
Mwaka huu sijui..
Hivi mpaka unaona mtu analoga nyie msilaumu
Matikiti 🤣🤣🤣Mkaa unalipa sana ukiupatia ni kama matikiti🌝
Nyani walibadirisha menu 🤣🤣🤣Hamkuyapatia😁
Mkuu hayo maneno tuu naonaga kama hadithi..Mwanangu kila mtu na riziki yake, kuna mtu ana hela balaa kila kijana alikuwa anatamani awe kama huyu mtu. Huyu jamaa alipofikwa na maradhi kila mtu kabakia kumuonea huruma.
😂 😂 😂jaribuni mkaa sasa
Steve Job ana interview yake nenda kaisikilize utanielewaMkuu hayo maneno tuu naonaga kama hadithi..
Et "" jamaa ana pesa kibao ila hana furaha.. hana amani na pesa zake"""
Haya maneno ya kujifariji mkuu oooh
Anasema ana amani na pesa zake au...ahahahahahha ila watu mna masikhara sanaa aiseeeSteve Job ana interview yake nenda kaisikilize utanielewa
Haya,dihaaNdoa Bado mpk trh 13 mahidia
Hii chaiHapo ndio utaelewa kwamba hiyo ambayo wewe ulidhani ni Elimu unayo is just useless information. Yeye mwenye elimu ya ukweli elimu ya kitaa ndio ametusua. 🤣🤣
Kashaweka?Si ndio kinachofuatia Mkuu?
Ataweka kule Kwenye kimasihara.Kashaweka?
Unachokiona chai hapo ni nini? Dunia ya leo Fundi Seremala wa Mtaani anaweza kuwa na kipato kikubwa kuliko hata graduate mwenye masters degree, sababu mmoja ana skills zinazompa pesa na mwingine ana qualifications za kwenye makaratasi(vyeti).Hii chai
CHAI.Unachokiona chai hapo ni nini? Dunia ya leo Fundi Seremala wa Mtaani anaweza kuwa na kipato kikubwa kuliko hata graduate mwenye masters degree, sababu mmoja ana skills zinazompa pesa na mwingine ana qualifications za kwenye makaratasi(vyeti).
Tatizo lenu kubwa ni kwamba shule inazidi kuwafanya muwe wajinga na bado hamjashtuka. Ukiwa na akili zako timamu na unajitambua basi uhitaji degree ili kutoboa kwenye maisha. Elimu ya msingi tu inaweza kukukomboa kutoka katika umaskini.
Sawa Boss!CHAI.
Anaekuoa anakazi aiseBasi nilimuuliza unaelekea wapi huku wakati ulikuwa unaishi karume? Akanambia alihama Toka mwaka Jana na kwa Sasa amepanga maeneo ya kibugumo huku akiwa anamalizia ujenzi WA nyumba yake iliyopo kisota maweni .
Na hajaoa..
Na mchango WA harusi ametoa tayari ..
Na trehe 13 naolewaaaaaaaa💃💃💃💃
Pole wewe ambaye huna hata mtu wa kukushika mkonoooo umeishiwa kuzalishwaaaaaaaa😁😁 poor you💔😂
Na uache makasiriko😁😁😁
Mwezenu naolewaaaaaa😁😁
Pyeeee 😂😂😂😂💃💃💃🤸🤸🤸