Robbers rape bank staff in Kampala raid

Ili twende sawa, tuwekeeni picha, tusiwasingizie bureeeee.. Tuone tukio kamiliii 🤣🤣😎😎😎😎
 
Wanasema wanatafuta walinzi, hawasemi wanatafuta majambazi. Hawana clue ya kuwapata majambazi, putrid third world security organs.
 
Hii ni jambo lakushangaza inaonekana walifanya visa tuu kwa hawa madada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wafanya kazi wenyewe wakina AMBER RUTI halo ni sawa na kumtishia SAMAKI maji
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama shida yao ilikua hyo na sio pesa kwann watoke nje ya malengo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu rudia kusoma vizuri palipoandikwa kwa kiingereza. Beira anapotosha.Walitaka wapewe funguo za hifadhi ya pesa ikashindikana.Wakaamua kumbaka mtumishi wa kike ili kushinikiza wapatiwe funguo napo wakakwama.Waliamua kukata kienyeji sehemu ya hifadhi ya fedha wakashindwa na kuondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…