babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mzungu ni nani mbona ni wa kawaida tu,mi nawatuma kila siku na wanafata ninachowaambia,alafu kuna mtu anakaa kumuona huyo mtu kama mungu acheni upimbiKwani wewe unaongelea hao wazungu unaopiga nao mzigo kwani wao ndio waliopelekewa kesi na Amsterdam ??
hakuna jambo hapo, ni strategies tu za kuendelea kutengeneza headline hapoJamaa wanabana kila upande, huku EU, Pompeo, Bunge la Ulaya, Amnesty, CCM kazi wanayo.
Anatafuta mafuta na gas aendelee kuwa bepari. Russia walipigwa ban asikanyage Kule sababu ya kuleta za kuleta.Jamaa ni opportunist tu wa kutafuta kuendelea kuwa relevant.
Kesi anafungua 2050Makamanda wa BAVICHA tuendelee kukusanya ushahidi tumpelekee Bob Amsterdam
Kwani wewe unaongelea hao wazungu unaopiga nao mzigo kwani wao ndio waliopelekewa kesi na Amsterdam ??Mzungu ni nani mbona ni wa kawaida tu,mi nawatuma kila siku na wanafata ninachowaambia,alafu kuna mtu anakaa kumuona huyo mtu kama mungu acheni upimbi
Ili mjue, mpate kujitayarisha.Kuna watu wanalazimisha kubakia relevant, si mfungue tu sasa kuna haja gani ya kututangazia kila siku ?
Kwa dada yetu Nani mkuu?😂Asante shemeji yetu bob amsute-damu
Maria Sarungi kuna shetani amempitia hajitambui. Arudi kuimba kwaya kanisani. We miss her voiceMaria Sarungi si alishatushtaki kama Taifa? Au mashtaka mawili tofauti?
Unasema???? Unadhani ICC ni mahakama zenu za gachacha kama Kisutu eeeh???? Subirini sasa
Kamanda tuendelee kusubiri au tuendelee namishe zetu?Unasema???? Unadhani ICC ni mahakama zenu za gachacha kama Kisutu eeeh???? Subirini sasa
Mkuu dawa isha chemka kilichobaki vinatafutwa vikombe vya watu nywea dawaKamanda tuendelee kusubiri au tuendelee namishe zetu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Naona mkiwa ndani ya mahakama mkimtoa ushahidi dhidi ya maguUnasema???? Unadhani ICC ni mahakama zenu za gachacha kama Kisutu eeeh???? Subirini sasa
Robert Amsterdam anajiandaa kumburuza bilionea Donald Trump kwenye mahakama ya ICC jumatatu ijayo. Stay tuned.Updates jamani AISISI kunani huko?
Subiri wakati waja. Uzuri jinai haiozi[emoji23][emoji23][emoji23]Naona mkiwa ndani ya mahakama mkimtoa ushahidi dhidi ya magu
Ninyi kweli vilaza na nyumbu. Hivi kweli bado tu huyu mpuuzi kawashikilia akili zenu.Baada ya gwiji la sheria la kimataifa ndugu Robert Amsterdam kufanikiwa kuishawishi idara ya mambo ya nje ya Umoja wa Ulaya kuijadili Tanzania dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu na hatimaye kusubiri hatua rasmi za kinidhamu kuchukuliwa, sasa Robert amethibitisha rasmi kuwa jumatatu anaenda ICC kufungua mashitaka dhidi ya uhalifu wa binadamu nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa kanuni za ICC, endapo mashitaka yatafunguliwa basi Tanzania itahitajika kupeleka utetezi wake na kisha pande zote mbili kujadiliwa kwa kina.
Sasa mataifa mbalimbali yanaendelea kuchukua hatua dhidi ya Tanzania baada ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na uhuru kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.