Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nimeangalia video moja Youtube inamuelezea kamajamaa ni magumashi sana. Sehemu kubwa ya pesa anazopata ni kupitia semina anazotoa akichaji dola 12K hadi 45K, na si kupitia biashara ya Real Estate kama anavyodai. Pia japo anasifika kwa kuandika kitabu hicho lakini hasa aliyefanya kazi ni muandishi mwenza, Sharon Lechter ambaye ni mhasibu kitaaluma. Walikuja kutengana na huyu mama kibiashara baada ya kuona utapeli wa Kiyosaki unataka kuvuka mpaka.
Pia wanadai mauzo ya kitabu hicho yalipaa zaidi baada ya jamaa kufanya kolabo na kampuni ya Amway Corp ambayo inakashfa ya kuendesha pyramid scheme. Inadaiwa watu walikuwa wakienda kwenye semina za Amway walikuwa wanaambiwa kwanza wanapaswa kununua kitabu Rich Dad, Poor Dad.
Zaidi ni kuwa mzee wake anayemwita Poor Dad hakuwa poor, hata alimpa mtaji wa dola laki moja ili aanzishe biashara.
Sikiliza mwenyewe.
View: https://youtu.be/D2fHbbOmu_o?si=UyxZUaUAPUsiITAs
Pia wanadai mauzo ya kitabu hicho yalipaa zaidi baada ya jamaa kufanya kolabo na kampuni ya Amway Corp ambayo inakashfa ya kuendesha pyramid scheme. Inadaiwa watu walikuwa wakienda kwenye semina za Amway walikuwa wanaambiwa kwanza wanapaswa kununua kitabu Rich Dad, Poor Dad.
Zaidi ni kuwa mzee wake anayemwita Poor Dad hakuwa poor, hata alimpa mtaji wa dola laki moja ili aanzishe biashara.
Sikiliza mwenyewe.
View: https://youtu.be/D2fHbbOmu_o?si=UyxZUaUAPUsiITAs