Anakung'ata si ndioSuarez noma bana. Fighter, gives 100% on the pitch, na ukileta za kuleta hakukopeshi.
Ngoja nijaribu kuwatofautisha kwa kadri nijuavyo.
Luis Suarez ni mpiganaji uwanjani, anapigana kadri anavyoweza ili apate goli uwanjani, ni mroho wa magoli uwanjani.
-Jamaa hawezi kutumia miguu yote miwili sawasawa.
-Sio mzuri kwa mipira ya juu.
-Hana uwezo wa kukokota ama kuwachambua mabeki.
-Sio mtu ws kukaa na mpira muda mwingi mguuni hata zile radha za kiburudani ndani ya soka huwa hana kiviile kama Aguero ama Lewandowsk.
Lewandoski sio mpiganaji kama Suarez ila yeye uwanjani anacheza kama hataki kucheza vileeeee!!!!
-Mpira ukija kwa mguu wowote ule kama yupo sehemu nzuri hesabu goli.
-Mpira uje chini au Juu anaweza kuuweka wavuni, tofauti na Suarez
-Anaweza kukokota na kupiga chenga japo sio sana.
-Jamaa ana skills za kuweka mpira mguuni kwa muda mrefu.
-Lewandowski Magoli yake ni ya kiufundi zaidi, jamaa ana skillz kubwa za kufunga.
Yote ya Yote hawa wote hawamfikii bwana mkubwa Kun Aguero. Hatari sana huyu Jamaa!!!
Ngoja nijaribu kuwatofautisha kwa kadri nijuavyo.
Luis Suarez ni mpiganaji uwanjani, anapigana kadri anavyoweza ili apate goli uwanjani, ni mroho wa magoli uwanjani.
-Jamaa hawezi kutumia miguu yote miwili sawasawa.
-Sio mzuri kwa mipira ya juu.
-Hana uwezo wa kukokota ama kuwachambua mabeki.
-Sio mtu ws kukaa na mpira muda mwingi mguuni hata zile radha za kiburudani ndani ya soka huwa hana kiviile kama Aguero ama Lewandowsk.
Lewandoski sio mpiganaji kama Suarez ila yeye uwanjani anacheza kama hataki kucheza vileeeee!!!!
-Mpira ukija kwa mguu wowote ule kama yupo sehemu nzuri hesabu goli.
-Mpira uje chini au Juu anaweza kuuweka wavuni, tofauti na Suarez
-Anaweza kukokota na kupiga chenga japo sio sana.
-Jamaa ana skills za kuweka mpira mguuni kwa muda mrefu.
-Lewandowski Magoli yake ni ya kiufundi zaidi, jamaa ana skillz kubwa za kufunga.
Yote ya Yote hawa wote hawamfikii bwana mkubwa Kun Aguero. Hatari sana huyu Jamaa!!!
1. Suarez
2. Aguero
3. Lewandowski
1.AGUERO. 2.suarez. 3.lewandosky. 4.zlatan.
You made my dayLewandoski yuko vizuri.
Suarez yuko vizuri. Anapata nafasi zaidi kwakuwa akibanwa ANANG'ATA beki.. automatically anaogopwa.
Najua kuna namba tisa bora duniani wengi tu kwa sasa kama kina Vardy, Ibrahimovic, Benzema na wengine. Lakini kati ya hawa wawili nani zaidi....?