Robertinho kuja na wachezaji wake kutoka kwao imenikumbusha kocha Zoran Maki kuja na Derjan (mzungu)

Robertinho kuja na wachezaji wake kutoka kwao imenikumbusha kocha Zoran Maki kuja na Derjan (mzungu)

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Tetesi za kipa la kibrazil kutua msimbazi zimenifanya nikumbuke Derjan (Mzungu)

Mlete mzungu! Mlete mzungu ! Mlete mzungu!!

MAONI YANGU: Kocha zolan alimleta Derjan lakini usajili wake haukuleta furaha pale msimbazi hiyo siyo ishu maana mzungu alikua anacheza namba tisa (9) na hiyo namba kulikua Kuna wachezaji wengi mbadala wa Derjan na ndiyo maana haijaleta madhara pale msimbazi.

Robertinho analeta kipa mbrazil kwa namna magazeti yanavyompamba inasemekana anadaka mpa vichwa vya treni ya mwendokasi.

Lakini tukumbuke nafasi ya Goal keeper ni nafasi nyeti sana, Simba haina kipa mpaka Sasa Ina maana Aishi Manula ni mgonjwa na huyo anayekuja kutoka Brazil ndiyo kipa namba moja (kipa wa kutegemewa).

Kama Zolan alivyoleta mzungu ikawa kituko na Robertinho kaleta kipa (mjomba wake toka Brazil) tutegemee Mambo ya Azam na Ahmada.
 
Hata Mbrazil Jaja aliwahi kuletwa na Kocha Maximo pale Jangwani.
Akawa kama huyo mlete mzungu.

Usajili ni kamali, unaweza kunufaika au kuliwa. Hata hawa wachezaji wa Afrika, anaweza akawa moto kwenye timu moja ila akihama anaenda kupwaya kwenye timu nyingine.

Hii huwa inatokana na mambo mengi ya ndani na nje ya uwanja (mfano, Tabia binafsi, Lugha, hali ya hewa, tamaduni, vyakula na mfumo wa kocha)
 
Tetesi za kipa la kibrazil kutua msimbazi zimenifanya nikumbuke Derjan (Mzungu)

Mlete mzungu! Mlete mzungu ! Mlete mzungu!!

MAONI YANGU: Kocha zolan alimleta Derjan lakini usajili wake haukuleta furaha pale msimbazi hiyo siyo ishu maana mzungu alikua anacheza namba tisa (9) na hiyo namba kulikua Kuna wachezaji wengi mbadala wa Derjan na ndiyo maana haijaleta madhara pale msimbazi.

Robertinho analeta kipa mbrazil kwa namna magazeti yanavyompamba inasemekana anadaka mpa vichwa vya treni ya mwendokasi.

Lakini tukumbuke nafasi ya Goal keeper ni nafasi nyeti sana, Simba haina kipa mpaka Sasa Ina maana Aishi Manula ni mgonjwa na huyo anayekuja kutoka Brazil ndiyo kipa namba moja (kipa wa kutegemewa).

Kama Zolan alivyoleta mzungu ikawa kituko na Robertinho kaleta kipa (mjomba wake toka Brazil) tutegemee Mambo ya Azam na Ahmada.
za ndaani kabisa inasemekana huyo kipa aliacha kucheza mpira tangu 2018 na kujikita kwenye shughuli za uvuvi robertinyo akamwambia kuna mimbumbu huku njoo tuipige pesa kama SAWADOGO😛😛😛
 
Hata Mbrazil Jaja aliwahi kuletwa na Kocha Maximo pale Jangwani.
Akawa kama huyo mlete mzungu.

Usajili ni kamali, unaweza kunufaika au kuliwa. Hata hawa wachezaji wa Afrika, anaweza akawa moto kwenye timu moja ila akihama anaenda kupwaya kwenye timu nyingine.

Hii huwa inatokana na mambo mengi ya ndani na nje ya uwanja (mfano, Tabia binafsi, Lugha, hali ya hewa, tamaduni, vyakula na mfumo wa kocha)
Umenikumbusha FERNANDO TORRES wa Liverpool na FERNANDO TORRES wa Chelsea
 
Hata Mbrazil Jaja aliwahi kuletwa na Kocha Maximo pale Jangwani.
Akawa kama huyo mlete mzungu.

Usajili ni kamali, unaweza kunufaika au kuliwa. Hata hawa wachezaji wa Afrika, anaweza akawa moto kwenye timu moja ila akihama anaenda kupwaya kwenye timu nyingine.

Hii huwa inatokana na mambo mengi ya ndani na nje ya uwanja (mfano, Tabia binafsi, Lugha, hali ya hewa, tamaduni, vyakula na mfumo wa kocha)
Kuna namba unaweza kucheza kamali lakini siyo kipa na Beki mjomba
Ngoja tuone kamali yao kwa kipa [emoji41]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Anacheza wapi sasa hivi
Screenshot_20230704-142426_Chrome.jpg
 
Tetesi za kipa la kibrazil kutua msimbazi zimenifanya nikumbuke Derjan (Mzungu)

Mlete mzungu! Mlete mzungu ! Mlete mzungu!!

MAONI YANGU: Kocha zolan alimleta Derjan lakini usajili wake haukuleta furaha pale msimbazi hiyo siyo ishu maana mzungu alikua anacheza namba tisa (9) na hiyo namba kulikua Kuna wachezaji wengi mbadala wa Derjan na ndiyo maana haijaleta madhara pale msimbazi.

Robertinho analeta kipa mbrazil kwa namna magazeti yanavyompamba inasemekana anadaka mpa vichwa vya treni ya mwendokasi.

Lakini tukumbuke nafasi ya Goal keeper ni nafasi nyeti sana, Simba haina kipa mpaka Sasa Ina maana Aishi Manula ni mgonjwa na huyo anayekuja kutoka Brazil ndiyo kipa namba moja (kipa wa kutegemewa).

Kama Zolan alivyoleta mzungu ikawa kituko na Robertinho kaleta kipa (mjomba wake toka Brazil) tutegemee Mambo ya Azam na Ahmada.
Sasa we' mwana CCM, unawashauri wamsajili nani hao CHADEMA ili waje kufanya vizuri kukuzidi wewe msimu ujao?
 
Tetesi za kipa la kibrazil kutua msimbazi zimenifanya nikumbuke Derjan (Mzungu)

Mlete mzungu! Mlete mzungu ! Mlete mzungu!!

MAONI YANGU: Kocha zolan alimleta Derjan lakini usajili wake haukuleta furaha pale msimbazi hiyo siyo ishu maana mzungu alikua anacheza namba tisa (9) na hiyo namba kulikua Kuna wachezaji wengi mbadala wa Derjan na ndiyo maana haijaleta madhara pale msimbazi.

Robertinho analeta kipa mbrazil kwa namna magazeti yanavyompamba inasemekana anadaka mpa vichwa vya treni ya mwendokasi.

Lakini tukumbuke nafasi ya Goal keeper ni nafasi nyeti sana, Simba haina kipa mpaka Sasa Ina maana Aishi Manula ni mgonjwa na huyo anayekuja kutoka Brazil ndiyo kipa namba moja (kipa wa kutegemewa).

Kama Zolan alivyoleta mzungu ikawa kituko na Robertinho kaleta kipa (mjomba wake toka Brazil) tutegemee Mambo ya Azam na Ahmada.
Nenda kashitaki FIFA
 
Back
Top Bottom