Robertinho, mpe nafasi Chilunda uone atakavyomaliza ukame wa mabao

Robertinho, mpe nafasi Chilunda uone atakavyomaliza ukame wa mabao

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Keehokutwa tunaanza safari ya kusaka ubingwa kwa kucheza na mtibwa, nakushauri Robertinho tunataka kila mchezaji acheze, mechi na Mtibwa msimamishe namba 9 Shaaban Chilunda, kumi 10 Chama uone migoli itakavyomiminika nyavuni kwa mtibwa, weka kulia Duchu, kushoto Israel, Kazi, Che Malone, sita Abdallah Hamis, winga Kramo, winga Onana, nane Fabrice.Itakuwa balaa.

Wachezaji unao lakini unashindwa kuwatumia, we cjui vip jamaa
 
Shida ya Simba sio wachezaji, Simba hakuna timu, Fitness lever inasoma 50% sijui kambi ya uturuki ilikua na shida gani.
Kama hakutakua na makosa ya kibinadamu katika maamuzi, Simba ita struggle sana kupata matokeo kwa sasa.
Kwasasa zile bilion tatu ndizo zinazo fanya kazi kwa waamuzi.
 
Ila Kuna watu Lopolopo sana.

1. Tumewaambia TATIZO KUBWA la Simba ni kukosa Kiungo Cha Ukabaji
(CDM)

UNAMUACHA AUCHO UNAENDA KUCHUKUA KANUTE.

Walitakiwa watumie NGUVU zote kumsajili YANIC Bangala acheze na NGOMA.

HAPA SIMBA INGECHEZA FAINALI TATU.
 
Shida ya Simba sio wachezaji, Simba hakuna timu, Fitness lever inasoma 50% sijui kambi ya uturuki ilikua na shida gani.
Kama hakutakua na makosa ya kibinadamu katika maamuzi, Simba ita struggle sana kupata matokeo kwa sasa.
Kwasasa zile bilion tatu ndizo zinazo fanya kazi kwa waamuzi.

INAONEKANA Hujui mpira au hujui pre season.

Pre season ni Mazoezi Magumu ya utimami WA Mwili kuelekea MSIMU mpya.

Mfano.
Gym.
Kamba.
Chuma.
Push up.
Mbio
Squash na Mazoezi mengine mengi Magumu sana.

Miwili ya Wachezaji Bado imefunga ( wakati WA MISULI kurelax Bado.

Watarelax Baada ya Mwezi mmoja ndipo Utapona matunda ya Kambi ya UTURUKI.

OGOPA SANA KITU KINAITWA PRE SEASON.
 
INAONEKANA Hujui mpira au hujui pre season.

Pre season ni Mazoezi Magumu ya utimami WA Mwili kuelekea MSIMU mpya.

Mfano.
Gym.
Kamba.
Chuma.
Push up.
Mbio
Squash na Mazoezi mengine mengi Magumu sana.

Miwili ya Wachezaji Bado imefunga ( wakati WA MISULI kurelax Bado.

Watarelax Baada ya Mwezi mmoja ndipo Utapona matunda ya Kambi ya UTURUKI.

OGOPA SANA KITU KINAITWA PRE SEASON.
Kwaiyo wengine awakuwa na pre season ni simba tu ndiyo miili ya wachezaji wao imefunga mpaka sasa? Na mazoezi magumu Azam, yanga, na ata singida awakuyafanya bali ni simba tu ndiyo iliyafanya na misuli bado aijarelax??????🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom