Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Che Malone ile ni Mali,simba waliongea na Etoo akawaambia ile ni Mali wasiiacheππ" Mashabiki Simba walinipenda na nawapenda sana lakini lazima waambiwe ukweli kwamba Simba ina safari ndefu kwa sasa kwa aina ya usajili uliofanyika. Waliosajiliwa msimu huu ni Che Malone na Ngoma ndio wenye ubora na viwango, wengine wanajitafuta."
Robertinho via @MwanaspotiTZ
View attachment 2810503
Ni onana sio malone ππChe Malone ile ni Mali,simba waliongea na Etoo akawaambia ile ni Mali wasiiacheππ
AahππNi onana sio malone ππ
Hayo ni mawazo yake. Na wwe pia unauhuru wa kutoa mawazo yako.Che Malone mbona kiwango ni Cha kawaida sawa TU na beki zingine za nbc
mimi ni shabiki wa yanga lakini naona huyu mbrazil kama hazitaki mbichi hizi. hao hao anaowazarau ndio waliocheza hata na al ahly wakawapunyua na ndio walioifanya simba iogopwe africa. angesema tu kwamba wanahitaji morali fulani tu na kwamba mbele ya yanga watakalishwa though sio wabaya kivile." Mashabiki Simba walinipenda na nawapenda sana lakini lazima waambiwe ukweli kwamba Simba ina safari ndefu kwa sasa kwa aina ya usajili uliofanyika. Waliosajiliwa msimu huu ni Che Malone na Ngoma ndio wenye ubora na viwango, wengine wanajitafuta."
Robertinho via @MwanaspotiTZ
View attachment 2810503
Hongera kwa kuondoa tone moja la maji kutoka kwenye bahari ya hindi!! Tatizo ni kwamba hakuna atakayejua kuwa kuna tone moja la maji limetolewa!!Ninakubaliana na Robertinyo kwani kama Simba wanamleta kishingo,kweli hii timu inaongozwa na genge la wahuni watupu.
Wajumbe wa bodi nimewastukia.
Sasa ninatambua hii timu inavunwa na wajanja sio kawaida.
Kuanzia sasa,sitafanya chochote kusapoti timu.Sinunui jezi,app sitalipia tena ijapo nimelipia mwaka mzima tayari,sitalipa kiingilio wala ada ya uanachama.Kifupi ninabaki mpenzi mtazamaji,wajinga waendelee kuliwa,mimi sio sehemu yao
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mpaka msemeNinakubaliana na Robertinyo kwani kama Simba wanamleta kishingo,kweli hii timu inaongozwa na genge la wahuni watupu.
Wajumbe wa bodi nimewastukia.
Sasa ninatambua hii timu inavunwa na wajanja sio kawaida.
Kuanzia sasa,sitafanya chochote kusapoti timu.Sinunui jezi,app sitalipia tena ijapo nimelipia mwaka mzima tayari,sitalipa kiingilio wala ada ya uanachama.Kifupi ninabaki mpenzi mtazamaji,wajinga waendelee kuliwa,mimi sio sehemu yao
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kiboko ya Che Malone ni Max Nzengeli wakati anapita kufunga goli Che Malone alikuwa sokoni! Hana maajabu yoyote!Che Malone mbona kiwango ni Cha kawaida sawa TU na beki zingine za nbc