Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
kuna watu wameutendea haki mpira seeldof mpaka anastaafu alikuwa kwenye ubora wake tuuu jamani weee mungu hebu warudishe kidogo miaka yao siku hizi tunapoteza pesa kuangalia mpira oooo my god
Hapo mbele ni Ronaldo yupi?
Huyu tozi wa sasa au yule mnyama wa PSV, Barca, Milan,Madrid?
Watu8 kweli carlos ampe center forward cristiano? kweli ndg wazo hilo limekuijia?
Like 100000000
Mpira wa sasa hauvutii,watu kama Morinyo wanaharibu mpira,wamegeuza mpira vita-nikulazimisha ushindi tu,mpira wa kuvutia hakuna tena,mpira wa talents kama wa gaucho,zizu,henry,figo haupo siku hizi,kidogo Mess ila wengine ni minguvu tu uwanjani!
Nasikia hasira saana nikiangalia mpira wa zama hizi...sioni tarent kwakweli!
huyu huyu ambae hajabeba worldcup?
Three-time Champions League winner Roberto Carlos has revealed his dream team of players he has played with and against in the illustrious tournament - and decided to pick himself in defence.
Mtu yeyote anayejiita mtu wa mpira halafu anawa-omit Messi na CR7 kwenye lineup yoyote yenye sura ya the global football finest, huyo lazima atakuwa na wivu wa KIKE tu (sorry my dadas/mamas nawaheshimuni sana!)