Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuja kufundisha nini kwenye club fukara isiyo weza hata kujinunulia basi la kusafirishia wachezaji?Roberto Oliveira ndie Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, ameagana rasmi na Vipers! Muda wowote atatangazwa kuwa Kocha wa Simba.
Klabu fukara ni ile iliyozoea kula mihogo, ndio maana inazikataa chapati za Azam!.Anakuja kufundisha nini kwenye club fukara isiyo weza hata kujinunulia basi la kusafirishia wachezaji?
Kwani yeye ni mjinga kuvunja mkataba huko alikokua na kuja club fukara?Anakuja kufundisha nini kwenye club fukara isiyo weza hata kujinunulia basi la kusafirishia wachezaji?
Simba na Yanga ni mapacha. Wote hawana hela. Je ni basi gani Simba wameshawahi kununua kwa pesa zao?Kwani yeye ni mjinga kuvunja mkataba huko alikokua na kuja club fukara?
Kuna club fukara kama ile iliyoshindwa kumpa mshahara mchezaji wake nyota mpaka kuamua kuvunja mkataba na kusepa?
Anakuja kufundisha ujasiriamali na namna bora ya kudunduliza coins hadi kununua basi.😂😂😂Anakuja kufundisha nini kwenye club fukara isiyo weza hata kujinunulia basi la kusafirishia wachezaji?
Kipimo cha kua na pesa ni kununua basi? Hakuna mtu au kampuni inayotoa bidhaa buree hayo mabus yanatolewa kimkataba..Simba na Yanga ni mapacha. Wote hawana hela. Je ni basi gani Simba wameshawahi kununua kwa pesa zao?
Yutong walinunuliwa na TBL mengine walipewa na Africariers, yaani Mo anazidiwa hela hata na Malkia wa Nyuki
Wastani wa umri wa wachezaji wa Vipers ni miaka 24, wastani wa umri wa wachezaji wa Simba ni miaka 32 unategemea kocha ata vifundisha Nini Vibabu ambavyo Kwa umri huo vinashikiria tuzo ya Ulozi barani Afrika katika Ngazi ya vilabu!!Kama ni kweli maombi yangu yatakuwa yamesikiwa, huyo kocha ni jembe, kwa namna alivyoitengeneza Vipers, tena ikiwa na wachezaji wa kawaida, amewapa chemistry wanacheza kitimu bila kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, hakika Simba kama kweli wanamleta huyo mwamba wamelamba dume.
Umeanza kuteseka ukiwa wapi?!Wastani wa umri wa wachezaji wa Vipers ni miaka 24, wastani wa umri wa wachezaji wa Simba ni miaka 32 unategemea kocha ata vifundisha Nini Vibabu ambavyo Kwa umri huo vinashikiria tuzo ya Ulozi barani Afrika katika Ngazi ya vilabu!!
Kwa hiyo Simba lile basi walilopewa na TBL walilipia kiasi gani?Kipimo cha kua na pesa ni kununua basi? Hakuna mtu au kampuni inayotoa bidhaa buree hayo mabus yanatolewa kimkataba..
Huko utopoloni kipimo cha kua na pesa ni kununua bus?
Nakuja ku join the classAnakuja kufundisha ujasiriamali na namna bora ya kudunduliza coins hadi kununua basi.😂😂😂
Umeona mada ni coins na utunzaji ndiyo umewagaya akina Feisal?Nakuja ku join the class
Kila kaya ina kipaumbele chake.Basi halina utaalamu wa kucheza wala kufundisha mpira.Kwanini wasinunue Bus kwanza ??
Feisal kule anaenda kufundishwa uganga na watampa uongozi wa kamati ya nidhamu, sijui kwanini Yanga wanamlilia mwanaume mwenzao?Umeona mada ni coins na utunzaji ndiyo umewagaya akina Feisal?
Wakisoma ulichoandika hawatakawia kuangua vilio vikubwa huku wanajigalagaza kwa hasira.😂😂Feisal kule anaenda kufundishwa uganga na watampa uongozi wa kamati ya nidhamu, sijui kwanini Yanga wanamlilia mwanaume mwenzao?