Kakosa,wakipata ya pili anaweza pata.Apige Boko.
ZIcco, Ronaldo, Messi, na wengineo wengi sana walishawahi kukosa Penati!!Ndio mpira huo.!
Ya pili Kagere.Kakosa,wakipata ya pili anaweza pata.
kwenye mpira zaidi ya penalty ni nafasi ipi rahisi zaidi kufunga ?Kufunga Penati siyo rahisi kama wengi wenu mnavyofikiri!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndio huu mpira umekuja huku Chalinze ukaangua nazi zangu mkuu?
Kama ni Chalinze hiyo itakuwa ya TambweNdio huu mpira umekuja huku Chalinze ukaangua nazi zangu mkuu?
Amepaishaaaaaaaaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio huu mpira umekuja huku Chalinze ukaangua nazi zangu mkuu?
Sisi watu wa mpira tunajua kufunga Penati si rahisi. Wacheza nguli duniani mara kadhaa wamekosa penati!!kwenye mpira zaidi ya penalty ni nafasi ipi rahisi zaidi kufunga ?
Kama Tambwe alivyokosaNa hii kukosa penalt itawafanya simba wasionane. Kibinadamu lazima mchanganyikiwe.
kwenye mpira zaidi ya penalty ni nafasi ipi rahisi zaidi kufunga ?
Tunaomba uturushie bado tunausubiri hapa uwanjani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu niko tanangozi kuna mpira umeniangukia hapa halafu sielewi umetoka wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app