Robo fainali ya Shirikisho Afrika ni ngumu kwa Simba kuliko nusu fainali

Robo fainali ya Shirikisho Afrika ni ngumu kwa Simba kuliko nusu fainali

Joined
Jun 3, 2014
Posts
63
Reaction score
68
kwa Drow iliyochezeshwa leo imepanga kua Simba sc itakutana na Orlando pirates, huu mchezo kwa jina tu la timu ya Orlando inaonekana ni ngumu kuliko hata tunavodhani, na ukilinganisha na timu ambazo zitakutana na Simba endapo itapita hapa,

Kikubwa ni kwamba watumie vizuri mchezo wa kwanza utakaochezwa uwanja wa mkapa Dar es salaam, naamini Simba watapita bila kikwazo chochote ingawa Ugenini kupata ushindi inakua ngumu, basi wajitahidi mchezo wa kwanza Simba washinde kuanzia magoli 3 na kuendelea, ili wakienda kule kwao sare tu iwapitishe.
 
kwa Drow iliyochezeshwa leo imepanga kua Simba sc itakutana na Orlando pirates, huu mchezo kwa jina tu la timu ya Orlando inaonekana ni ngumu kuliko hata tunavodhani, na ukilinganisha na timu ambazo zitakutana na Simba endapo itapita hapa,

Kikubwa ni kwamba watumie vizuri mchezo wa kwanza utakaochezwa uwanja wa mkapa Dar es salaam, naamini Simba watapita bila kikwazo chochote ingawa Ugenini kupata ushindi inakua ngumu, basi wajitahidi mchezo wa kwanza Simba washinde kuanzia magoli 3 na kuendelea, ili wakienda kule kwao sare tu iwapitishe.
Simba atashinda goli 3
 
Tushazoeamaneno yenu nyie hayatunyimiiii usingiziii nunuenii sare mkae mkao wakuwakirimu wageni
 
Ya jwaneng galaxy yanaweza kujirudia kwa mkapa Taifa
 
kwa Drow iliyochezeshwa leo imepanga kua Simba sc itakutana na Orlando pirates, huu mchezo kwa jina tu la timu ya Orlando inaonekana ni ngumu kuliko hata tunavodhani, na ukilinganisha na timu ambazo zitakutana na Simba endapo itapita hapa,

Kikubwa ni kwamba watumie vizuri mchezo wa kwanza utakaochezwa uwanja wa mkapa Dar es salaam, naamini Simba watapita bila kikwazo chochote ingawa Ugenini kupata ushindi inakua ngumu, basi wajitahidi mchezo wa kwanza Simba washinde kuanzia magoli 3 na kuendelea, ili wakienda kule kwao sare tu iwapitishe.
Naunga mkono hoja!
 
Kila la kher mnyama! endelea kuunguruma
 
Mnyama anatisha.......
yanga ipo ipo tu....hivi huwa hawaoni wivu kuona mnyama anavyo pasua anga huku na kule.....
kweli yanga imeooza.....yanga ilikuwa miaka hiyoooo sio sasa
 
Back
Top Bottom