Robo shilingi ya Tigo ni kweli?

Buyaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
1,705
Reaction score
1,953
Muda wa maongezi kuanzia mida ya saa kumi na moja jioni naona ni mfupi sana ukilinganisha na kabla ya hapo kwa salio lile lile.

Kwa vile sijapima na stopwatch sina uhakika wa kusema wanachakachua au la. Niwaulize wenzangu watumiao mtandao wa TIGO, hili tangazo lao la robo shilingi kwa sekunda masaa 24 baada ya dakika ya kwanza ni kweli?
 
Usanii kwenye haya makampuni ya mawasiliano huwa hauishi kabisa,mi binafsi nilishawahi kugombana nao sana baada ya kuwatolea uvivu pale Majani ya Chai,waliishia kunituliza kwa maneno ya ki-marketer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…