Rockstar4000 nyuma ya pazia

Perfectz

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
9,045
Reaction score
28,216
Kupitia chanzo cha habari makini kabisa(Watu wa karibu) inasemekana timu hiyo ya rockstar hali sio shwari kabisa.Kuna mvurugano mkubwa mno tangu kipindi kile Baraka anatoka.

Inasemekana hivi sasa wasanii wengi wameona kuna ubabaishaji mkubwa na kuisusa lebo hii.Chanzo kikubwa kuna msanii mmoja anajiona babu kubwa zaidi ya wenzako.Dharau kibao,kujiona,maringo wakati lebo na kazi zinadorora.

Ndio maana juzi kati Baraka alipost na kusema MBWA NYIE MSINIPANGIE VYA KUPOST.[emoji15] [emoji15] [emoji15] likiwa na dongo kuelekea kwa msanii huyo mwenye dharau.

Muda sio mrefu ubuyu mzima utapatikana hapa.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Huyo atakuwa ni Ali kiba tu
 
Sawasawa mkuu pale Rockstar hamna chochote.wajifunze WCB licha ya mapungufu madogo aliyonayo Mond ila Alikiba Yule ni jipu kabisa
 
Nadhani kuwaunga mkono na kuwashauri njia ya kupita ili wafanikiwe ni jambo bora sana kuliko kuwakatisha tamaa au kuwaacha wasambaratike.WCB haita pimwa ubora wake kwa kulinganisha na vilebo vilivyochoka bali na lebo imara.Tuwaambie wazi hatufurahii utoto wao sisi tunafurahia kazi bora zenye muendelezo.Hawajachelewa wajipange vizuri watafika wanapo pataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…