Yule kiongozi wa vyura ambaye yumo katika orodha ya washtakiwa wa mheshimiwa waziri, yeye pamoja na mchezaji anayecheza nafasi ya beki katika kikosi cha timu ya Nkana FC, wameonekana mkoani Morogoro asubuhi ya leo.
Lengo la safari ya wawili hao mkoani humo, pamoja na mambo mengine, ni kwa ajili ya kumuona kipofu ambaye amekuwa maarufu katika siku za hivi karibuni ili kuhitaji msaada wake.
Lengo la safari ya wawili hao mkoani humo, pamoja na mambo mengine, ni kwa ajili ya kumuona kipofu ambaye amekuwa maarufu katika siku za hivi karibuni ili kuhitaji msaada wake.