cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
ni kweli,tena mie nafurahi zaidi pale rafiki za jamaa wakimponda shem wao mpya huku wakimlaumu rafiki yao kuniudhi hadi nikambwaga!wakishatupoteza ndio wanaujua uzuri wetu!Mamii umesema ukweli kabisa hakuna mwanamke/ hata mwanaume nadhani ambaye angependa kusikia mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wake ni bora kuliko alivyokuwa yeye. Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa
Oh yeah...hiyo ndio huniacha hoi kabisa. Wenyewe eti huiita "upgrading"....
Mamii umesema ukweli kabisa hakuna mwanamke/ hata mwanaume nadhani ambaye angependa kusikia mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wake ni bora kuliko alivyokuwa yeye. Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa
...Hivi,
...ni KWANINI baada ya kuachana na mtu "wengi" hutamani 'mtaliki wake' apate mkong'oto wa maisha ajute kwanini aliachana na yeye?
kuna raha gani aliyekuwa kipenzi chako akiliona joto la jiwe kwa msongo wa mawazo, mapenzi na 'kufulia' ki maisha?