Kwa sababu roho ipo kweli...kwann napotosha?
thibitishaKwa sababu roho ipo kweli...
Ngoja nitume watu wakukabe ndio utagundua roho ipo...thibitisha
Kama wanasayansi wanaweza kuset vitu vikawa automatic, iweje Mungu ashindwe? nadhan Mungu ashaweka uumbaji wake ktk automatic system pengine now anaumiza kichwa(sorry God has no any example) afanye nin kipya ktk creativity yake...Hivi wakati yai la mwanamke linapoungana na mbegu ya mwanaume ni wakati huo roho inashuka kutoka kwa Mungu na kuanzisha maisha au maisha yanajianzisha yenyewe? Na kama inashuka kutoka kwa Mungu, zipo aina moja au kuna ya kike na kiume? Ya kizungu, kiafrika, kichina nk. Anatuma nyingine inaazisha maisha ya akili finyu na akili ya kutisha, mtoa hoja mimi sina jibu, ila kinachokufanya uishi ndio roho ilipotaka kwangu ni utata
Una hakika au unakisia tu?Roho ni sehemu ya Super Natural power.
Ni sehemu ya Mungu. Hivyo haionekani na haitakuja kuonekana.
Ukifa Roho hurudi kwa Mungu kwani ni sehemu yake. Wakati Mwili hurudi mavumbini kwani mwili ni sehemu ya Mavumbi.
Una hakika Mungu yupo?Kama wanasayansi wanaweza kuset vitu vikawa automatic, iweje Mungu ashindwe? nadhan Mungu ashaweka uumbaji wake ktk automatic system pengine now anaumiza kichwa(sorry God has no any example) afanye nin kipya ktk creativity yake...
Mmmmh.Roho si sehemu ya Mungu
Ni uhakika. Sikisii.Una hakika au unakisia tu?
Una ushahidi wa hayo uliyoandika?
Unaweza kuyathibitisha in a logically consistent way?
Kama Mungu hana ithibati, utajuaje kwa uhakika kwamba yupo na si hadithi tu?Imani, nafsi, Mungu.... Hivi vitu havina ithibati atakae jaribu kuvithibitisha kwa namna yeyote atakuwa anajiongopea .The brain and human mind are much smaller than God and faith.
Kusema kitu ni logically hakukifanyi kuwa logically.Ni uhakika. Sikisii.
Logically ni kuwa Roho ilitolewa na Mungu Moja kwa Moja. Soma mwanzo 2 uielewe vizuri
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Roho si sehemu ya Mungu
Roho ni nini?Yeah!!
Ndio maana huna uamuzi nayo. Wala hujui habari zake. Ikiamua kutoka inatoka na wala huwezi kuizuia.
Roho ni nini?UMEMALIZA MKUUUU.
Nao mavumbi ( mwili) kurudi mavumbini ,,nayo ROHO KURUDI KWA MUNGU.
Roho ni nini?Unaweza kuthibigisha roho ipo?Sasa hapo ndio ugumu wa biblia unapokuja. Yesu ni Mungu lakini Mungu huyo alikufa. Je alipokufa roho yake ilienda wapi?
Mungu yupo. Hata wakristo wanaamini hivyo. Tito 2:13Roho ni nini?Unaweza kuthibigisha roho ipo?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Yesu Si Mungu. Na hawezi kuwa Mungu.
Mungu haonekani hivyo hana mfano.
Hizo nyingine ni simulizi.
Hakuna sababu inayofanya Yesu Awe Mungu Mkuu
Huwezi thibitisha uwepo wa roho mpaka pale utakapo koma kuishi.Roho ni nini?
Unaweza kuthibigusha roho ipo?
Wa Buddhist hawaamini hivyo.Mungu yupo. Hata wakristo wanaamini hivyo. Tito 2:13
Kutokuonekana kwake na kutothibitika kwake ndiko kunamfanya awepo.Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Unajuaje Mungu yupo kweli na si hadithibtu?
Kama huwezi kuthibitisha, unajuaje ipo?Huwezi thibitisha uwepo wa roho mpaka pale utakapo koma kuishi.
Utakapo kufa ndipo utakapoanza kuishi.