Roho ya Korosho wahenga waliona mbaaaaliiii

Roho ya Korosho wahenga waliona mbaaaaliiii

Kaka Pekee

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
336
Reaction score
564
LEO NIMEELEWA KWANINI WAHENGA WALITUMIA NENO "ROHO YA KOROSHO" WAKIMAANISHA ROHO MBAYA:-

Korosho INA roho mbaya sana imemuondoa waziri wa kilimo, utafikiri yeye ndiye mkulima wake. Wenzie mahindi na mbaazi wako kimya japo nao soko limedoda, imemwondoa waziri wa viwanda na BIASHARA kwa kushindwa kuitafutia Wateja na viwanda vikubwa vya kuchakata, mahindi na mbaazi hawajafanya hivyo, korosho INA bodi imevunja bodi yote maskini ya Mungu mahindi na mbaazi hawana cha bodi ila wametulia!.

Wee korosho wewe!!!🤔🤔
B6B7D4E1-AFD1-4E81-BAB0-CF191CD3E6A3.jpeg
 
[emoji3][emoji3] mkuu umewaza nn???kweli roho ya korosho mkuu.
 
Mm Charles mwijage...ndo imenisikitisha kumsifia kote john. Amedondokea pua
upande wa jamii zetu unasikitika, sana wale wanaohitaji kutumbuliwa wanalindwa kwa maslahi binafsi ya Anayejiita mweye Tanzania yake ila wengine wenye ru roho twa Korosho wakijikwaa tu nje ya ukumbi bila kujiuliza mara mbili
 
Back
Top Bottom