Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 564
Wahenga walinena mkuu😀😀😀kumbukizi muhimu sana[emoji3][emoji3] mkuu umewaza nn???kweli roho ya korosho mkuu.
Kibiti kuna korosho?....wekeni viwanda kwanza tutakuja kutembeaKaribuni kibiti sasa hali ni shwari kabisa unaweza kulala milango wazi
Na wewe acha roho ya korosho kumkumbusha jamaa machungu😂😂😂Hahahaha Magu kamwaga ugali wa Mwijage
Mm Charles mwijage...ndo imenisikitisha kumsifia kote john. Amedondokea pua
upande wa jamii zetu unasikitika, sana wale wanaohitaji kutumbuliwa wanalindwa kwa maslahi binafsi ya Anayejiita mweye Tanzania yake ila wengine wenye ru roho twa Korosho wakijikwaa tu nje ya ukumbi bila kujiuliza mara mbiliMm Charles mwijage...ndo imenisikitisha kumsifia kote john. Amedondokea pua