Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Cool down Graph.. Why so furious... We are living in two different lives that's why we differ... Pls pal accept this one... Don't use harsh abusive language..,! What's wrong with you... To me poverty is just another state of mind.. Possession of material things and vice versa.. Am beyond that...!!
You even dare to use that Trump words.. Amazing... But that's too low for you brother.. Try to build your own legacy so that from there others can learn from you.. Can quote you
 
Kuna nyumba nimepanga kila mwaka anakufa mtu na pia wenyeji mida mwingi wanahangaika sana na waganga wa kienyeji bila mafanikio. Na pia sisi wapangaji muda mwingi tunaamka vichwa vinauma, usingizi kukata ghafla usiku na mengne mengi. Mshana kwa uzoefu wako suluhu ya haya yote ni nini?
 
Hao wameshalikoroga Mwaga chumvi ya kutosha kisha sikilizia moto wake
 
Naomba kufahamu zaidi kuhusiana na hiyo tiba ya chumvi mkuu?
 
Sahihi kabisa nimepitiwa nikasahau hili.. Asante
 
Brother Mshna Jr Thanks Kwa Ushauri Huu Kama siyo Leo Basi Ni kesho Nilikuwa Naelekea huko Maana Nina kama 3Month Toka kidemu Flani Nitemane Nacho Imekuwa Nongwa kenyewe Kameenda Kwao Dodoma but

Nimetongoza Kwa Njia Zote Manzi Kama 10+ Wote Naambulia Patupu

Nikasema hii Siyo Kawaida yangu Maana huko Nyuma haikuwa hivyo Sa Sijui Natatuaje hii Shida Ndugu yangu Mshana ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…