Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quantity?Mwaka 2016 nilinunua elfu 70 bando moja.
Dah mkuu yani kitambo ulikuwaga active sana humu jamvinsh 85,000-100,000 inategemea made in tanzania,kenya au china.urefu 15m. unataka ngapi? ni Pm nikuletee mpaka site
Dah mkuu king yani sabini tu bei ya kutupa basi nampango wakuyanunua bando elfu mbili.Mwaka 2016 nilinunua elfu 70 bando moja.
Nenda kiwandani kabisa uweka order unaweza kupata kwa bei nzuri zaidi.Dah mkuu king yani sabini tu bei ya kutupa basi nampango wakuyanunua bando elfu mbili.
Sikumbuki vipimo vyake exactly lakini sehemu niliyoweka kwenye banda la kuku ni zaidi ya mita 10.Quantity?
Dah, nami nataka kwa ajili hiyo hiyoSikumbuki vipimo vyake exactly lakini sehemu niliyoweka kwenye banda la kuku ni zaidi ya mita 10.
Bando 2000 means unabidi uwe na mpunga si chini ya 140milioni.Dah, nami nataka kwa ajili hiyo hiyo
Chief bando elfu mbili siyo level zangu labda umeniquote kwa bahati mbayaBando 2000 means unabidi uwe na mpunga si chini ya 140milioni.
Inategemea ya 3mm unene ni sh 85000 bei ya jumla naya 2.5mm ni 75000 naya 2mm ni 68000.hizo ni bei z kiwandani ila reja reja 3mm ni 110 na 2.5 95 na 2mm 75000Wadau nataka kuweka uzio kwa kutumia waya hizi ,je bei yake kwa roll zima ni kiasi gani na hiyo roll moja urefu wake ni meter ngapi?