Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Neno wivu mnalitumia vibayaAcha wivu mwanaume chapa kazi sana
Hiyo bei mliemda naye dukani? We unangalia bei ya google whilewemzako sokon
Sijamuonea wivu, RR hawatengezi gari na kuzianika juani, gari zao zote ni customized by client, unatoa order na unasema iwe na vitu gani ndipo unaundiwa gari ya ndoto yako, kwa hiyo hamna kitu kinaitwa Bei ya Google wala ya sokoni.Acha wivu mwanaume chapa kazi sana
Hiyo bei mliemda naye dukani? We unangalia bei ya google whilewemzako sokon
Hajadanganya,ila hajui bei ya gari aliyonunua kweli?Diamond amedanganya Bei tuView attachment 1854318
Unadhani hawajui? Yani inabidi ifike muda watu wakubali tu kuwa kijana kapiga hatua na ana pesa. Huyo anayewalisha matango pori kajishtukia hadi kafuta post zake, ninamaanisha MangeYani tuna chuki za kishamba kwenye mambo hata ya wazi kabisa! Rollce Royce ni gari ambayo inatengenezwa UK sasa kwa brand yenye heritage kama hio how can they fake kwanza production ya mwaka mzima inakuwa on a specific number of vehicles!
Watu wengine ndio kwanza wameiona Rolce Royce jana 😅 hata walikuwa hawajuagi kama kuna gari kama ile!
Mange hawezi kuwa na hoja kwenye hili maana gari ingekuwa Used wangeanzia hapo sasa gari ni latest edition tena ile black ambayo ni ghali zaidi! 😂😂😂 Wamepoteana mazimaUnadhani hawajui? Yani inabidi ifike muda watu wakubali tu kuwa kijana kapiga hatua na ana pesa. Huyo anayewalisha matango pori kajishtukia hadi kafuta post zake, ninamaanisha Mange
Yani kawafunga midomo eanateseka sana. Halafu watu wanavyomuaminia yani wanadhani kuishi marekani ndiyo anajua kila kitu mpaka mambo ya magari.Mange hawezi kuwa na hoja kwenye hili maana gari ingekuwa Used wangeanzia hapo sasa gari ni latest edition tena ile black ambayo ni ghali zaidi! 😂😂😂 Wamepoteana mazima
Eeh level za IST tu kamilion 13 mtu ananing’iniza funguo kiunoni tu 😂😂😂Yani kawafunga midomo eanateseka sana. Halafu watu wanavyomuaminia yani wanadhani kuishi marekani ndiyo anajua kila kitu mpaka mambo ya magari...
Ninavimba mtaa mzima na wake za wasio na magari wananijua.Eeh level za IST tu kamilion 13 mtu ananing’iniza funguo kiunoni tu 😂😂😂
Roho mbaya na kuona tu kwamba hutafika level ile kwa uwezo wako chuki inakufanya ujiskie relief flani😂😂😂Ninavimba mtaa mzima na wake za wasio na magari wananijua.
Sijui kwanini watanzania tuna tendency ya kuchukia waliopiga hatua.
Unajua bora uwe na chuki ya mtu unayeweza kushindana naye sasa mzee mtu anatumia more than a bilion and half kunua gari, wakati ukiwaza hiyo ela ungeipata ungewekeza kwenye kila dream uliyo nayo nawe ukajihisi tajiri kabisa halafu bado umuonee chuki.Roho mbaya na kuona tu kwamba hutafika level ile kwa uwezo wako chuki inakufanya ujiskie relief flani😂😂😂
Hata bei huenda hajadanganya .. umeamua kupanga bei yako tu
aisee nimekuona una akili za kitoto sana. kila tajiri ana priority zake. si kila mtu atataka mshindane kununua magari ya gharama.Kamtoa nishai hata mo dewji aliyeshindwa inunua kisa simba yafanya vibaya afrika. Nakumbuka mo dewji aliandika ameahirisha kununua rolls royse baada ya kile kichapo cha sauzi..
jibu la swali lako ni umaskin ulio kubuhu. umaskin huwa unajaza watu roho mbaya kiasi kwamba hawataki kuona watu wamefanikiwa.Sidhani kama ni issue kubwa , Tanzanians are so haters na sijui kwanini tumejijengea hyo mentality hii mbaya tunawivu wa kipindukia kwa watu wanaotuzidi maendeleo. Kama ni fake au OG Mondi ndo anajua but the issue amekuwa kijana wa kitanzania kumiliki ndinga kali respect.
Tujifunze kutafuta pesa na sisi tununue tunavyovipenda sio kuponda wakati hata baiskeli hatuna
Irrelevant kwako mtaani inajulikana kuwa kamtoa nishai...aisee nimekuona una akili za kitoto sana. kila tajiri ana priority zake. si kila mtu atataka mshindane kununua magari ya gharama.
focus ya mo dewji nintofauti na focus ya diamond. hawawezi kuwaza sawa.
kwa hiyo hapo concept kuwa diamond amemtoa mo dewji nishai.. its so irrelevant..
Auto trader watu wanauza hizo Rolls.Sijamuonea wivu, RR hawatengezi gari na kuzianika juani, gari zao zote ni customized by client, unatoa order na unasema iwe na vitu gani ndipo unaundiwa gari ya ndoto yako, kwa hiyo hamna kitu kinaitwa Bei ya Google wala ya sokoni.
Big up mvulana wa Tandale