Roma Mkatoliki anafanya nini Marekani?

Roma Mkatoliki anafanya nini Marekani?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Huyu jamaa toka atekwe na kuachiwa kwa masharti akaona isiwe taabu akaamua kukimbilia zake Marekani mpaka leo huku nyuma akiiacha familia yake Tanzania.

Kumekuwepo na tetesi mtaani kuwa Roma anaishi Marekani kama mkimbizi wa kisiasa!

Je tetesi hizi ukweli upoje? Kama sio kweli Roma anafanya shughuli gani huko kwa Trump?
 
Hakuna mroma mwenye stamina ya kutambua hili.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Sijaona siasa yake ya kumfanya akimbilie nje labda ana mambo yake tu mwenyewe
 
Sidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...
 
Sidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...


Mkuu hizo kwa wenzetu ni kazi za maana pia, sema kwa Bongo tu mtu akifanya kazi ya ulinzi ndio anaonekana kachoka. Lakini wabeba box wa mbele Bongo wana mijengo ya maana wewe unaewadharau hauna.
 
Mkuu hizo kwa wenzetu ni kazi za maana pia, sema kwa Bongo tu ndio mtu akifanya kazi ya ulinzi ndio anaonekana kachoka. Lakini wabeba box wa mbele Bongo wana mijengo ya maana wewe unaewadharau hauna.
Kabisa mimi niliona mfanya usafi wa shuleni huko mbele anamiliki benzi. Anakwenda kazini kwa usafiri wake,anamiliki mjengo wake,hapa Tanzania hata Dr wa binadamu hana.
 
Back
Top Bottom