Saaana tu. Na mshahara,mrefu tu kama wa mbunge hukuMkuu hizo kwa wenzetu ni kazi za maana pia, sema kwa Bongo tu ndio mtu akifanya kazi ya ulinzi ndio anaonekana kachoka. Lakini wabeba box wa mbele Bongo wana mijengo ya maana wewe unaewadharau hauna.
Kabisa mimi niliona mfanya usafi wa shuleni huko mbele anamiliki benzi. Anakwenda kazini kwa usafiri wake,anamiliki mjengo wake,hapa Tanzania hata Dr wa binadamu hana.
Tatizo kwa Tanzania mfanyaji wa hizo kazi huwa anajifunza kuanza kuidharau kabla hata hajaipata. Heshima ya kazi yoyote ile duniani hujengwa na kubebwa na anayeifanya.Mkuu hizo kwa wenzetu ni kazi za maana pia, sema kwa Bongo tu ndio mtu akifanya kazi ya ulinzi ndio anaonekana kachoka. Lakini wabeba box wa mbele Bongo wana mijengo ya maana wewe unaewadharau hauna.
Afu jamaa Ana vitabia vya ushamba ushamba hv ...ukipitia tweets zake utaonaNi mpuuzi tu, tatizo lake pia huwa anajiona mjuaji sana wakati ni mtupu kichwani
Kabisa mimi niliona mfanya usafi wa shuleni huko mbele anamiliki benzi. Anakwenda kazini kwa usafiri wake,anamiliki mjengo wake,hapa Tanzania hata Dr wa binadamu hana.
Sidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...
Hizo kazi zinalipa vizuri kuliko hata huzi professional takataka kwabhapa kwetuSidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...
Hivi Kuna watu wanawachukulia serious hawa wasanii wetu akiwemo huyo Roma??Sijaona siasa yake ya kumfanya akimbilie nje labda ana mambo yake tu mwenyewe
Bandugu bwaga manyanga, hayaokote Magufuli,..Ni mpuuzi tu, tatizo lake pia huwa anajiona mjuaji sana wakati ni mtupu kichwani
Kama mwana FA tu..na wasanii wengine wengiAfu jamaa Ana vitabia vya ushamba ushamba hv ...ukipitia tweets zake utaona
Ni mwalimu, na mamtoni nasikia uwalimu diliSidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...
😂😂Sidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...
Anafanya mziki bana na wadau wakubwa wa kule , eti ni mkimbizi wa kisiasa , ivi roma anaonekana mwanasiasa eti, au msanii anae wakilisha jamii kwa mpande wa siasa sometimes? mwenye majibuHuyu jamaa toka atekwe na kuachiwa kwa masharti akaona isiwe taabu akaamua kukimbilia zake Marekani mpaka leo huku nyuma akiiacha familia yake Tanzania.
Kumekuwepo na tetesi mtaani kuwa Roma anaishi Marekani kama mkimbizi wa kisiasa!
Je tetesi hizi ukweli upoje? Kama sio kweli Roma anafanya shughuli gani huko kwa Trump?
[emoji23][emoji23] watu!Mimba imeingia kwa njia Internet.
Kwa wastani huko wanalipwa around dola 3000 per month roughlyKabisa mimi niliona mfanya usafi wa shuleni huko mbele anamiliki benzi. Anakwenda kazini kwa usafiri wake,anamiliki mjengo wake,hapa Tanzania hata Dr wa binadamu hana.
Huyu jamaa toka atekwe na kuachiwa kwa masharti akaona isiwe taabu akaamua kukimbilia zake Marekani mpaka leo huku nyuma akiiacha familia yake Tanzania.
Kumekuwepo na tetesi mtaani kuwa Roma anaishi Marekani kama mkimbizi wa kisiasa!
Je tetesi hizi ukweli upoje? Kama sio kweli Roma anafanya shughuli gani huko kwa Trump?
Ana degree ya education dogo acha dharauSidhani Kama ana proffesional skills na uzoefu kufanya kazi ya maana kule. Kazi anazofanya zitakuwa ni usafi, kutunza wazee, kubeba mabox, Ulinzi etc...