jamanoma
Member
- Jul 9, 2017
- 21
- 38
Wadau kwa kilicho tokea Kenya,wa umini wa haki na demokrasia ya dhati watakubaliana na mimi kuwa mahakama ya kenya imeonesha dhahiri kuwa ni muhimili HURU na haiingiliwi ktk kufanya maamuzi yake.
Pili nathubutu kutoa pongezi za dhati kwa Muheshimiwa Uhuru Kenyata kwa kuisheshimu katiba ya nchi yake na kuiacha mahakama ifanye kazi yake bila kuiingilia (mana ni marais wachache Africa ambao wangeweza kuruhusu rufaa ya wapinzani iweze kusikilizwa mahakamani dhidi ya Rais aliyepo madarakani) wewe ni Rais wa kuigwa AFRICA na Duniani kwa ujumla.
Tunajua Siasa ni mchezo wa janja janja nyingi mno na yawezekana labda janja janja ilitumika kuhakikisha chama chako kinapata ushindi wa Urais kwa awamu ya pili....Jipangeni upya.
Ama kwa hakika Kenya ni nchi huru......
Tafadhali Roma Mkatoliki Urudie wimbo wako wa Zimbabwe na kwenye Zimbabwe weka Kenya.
Pili nathubutu kutoa pongezi za dhati kwa Muheshimiwa Uhuru Kenyata kwa kuisheshimu katiba ya nchi yake na kuiacha mahakama ifanye kazi yake bila kuiingilia (mana ni marais wachache Africa ambao wangeweza kuruhusu rufaa ya wapinzani iweze kusikilizwa mahakamani dhidi ya Rais aliyepo madarakani) wewe ni Rais wa kuigwa AFRICA na Duniani kwa ujumla.
Tunajua Siasa ni mchezo wa janja janja nyingi mno na yawezekana labda janja janja ilitumika kuhakikisha chama chako kinapata ushindi wa Urais kwa awamu ya pili....Jipangeni upya.
Ama kwa hakika Kenya ni nchi huru......
Tafadhali Roma Mkatoliki Urudie wimbo wako wa Zimbabwe na kwenye Zimbabwe weka Kenya.