Nisimulie mpendwa huu uzee nao unatutupa etiWatanzania ujuaji umezidi yani watu wamesoma kkichwa cha habari hawajasoma ndani wanashusha comment tu... Hahaaa
Khaa wee soma utaelewa..Nisimulie mpendwa huu uzee nao unatutupa eti
Sikujua kama umeanza roho mbaya.Khaa wee soma utaelewa..
Watanzania ujuaji umezidi yani watu wamesoma kkichwa cha habari hawajasoma ndani wanashusha comment tu... Hahaaa
Yanii!!. sasa ukienda huko kwa dada yao mange utacheka hizo comment zao za ukilaza...sio amekua mwalimu ameenda kutoa msaada wabongo kwa kukurupuka ni balaa
Hahahah sasa kama umeweza kusoma comment yangu hayo maelezo ya hapo juu umeshindwaje kuyasoma...?Sikujua kama umeanza roho mbaya.
Haya mi namwachia muumba
kaka nimegundua watanzania tunashida kama viongozi wetu,ndio maaana hata katika uchaguzi huwa tunapata viongozi vilaza wakusaini mikataba bila kusoma,Yanii!!. sasa ukienda huko kwa dada yao mange utacheka hizo comment zao za ukilaza...
Sababu na yeye aliferi akaenda klash program akaanza kufundisha, ana leseni ya ualimuKuna wimbo aliimba "kimbilio la waliofeli ni ualimu na upolisi"
Mmmh haya tu wewe endelea kunichanganya na maswali yako.[emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahah sasa kama umeweza kusoma comment yangu hayo maelezo ya hapo juu umeshindwaje kuyasoma...?
Shida sana,me tangu niligundue hilo siwalaumu viongozi hiki kizazi kikipotea ndo Tanzania itasonga mbele.kaka nimegundua watanzania tunashida kama viongozi wetu,ndio maaana hata katika uchaguzi huwa tunapata viongozi vilaza wakusaini mikataba bila kusoma,
nimechoka kabisa
Ndo nataka nione unavyochanganyikiwa heheeeMmmh haya tu wewe endelea kunichanganya na maswali yako.[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Lete Noah(Nkuuu) Leta difenda (Nkuu) leta wajedaa....
for real sijui tutafika wapiShida sana,me tangu niligundue hilo siwalaumu viongozi hiki kizazi kikipotea ndo Tanzania itasonga mbele.