Roma Mkatoliki: Sera za Maji na Umeme tulipaswa kumaliza mwaka wa 10 baada ya Uhuru!

Roma Mkatoliki: Sera za Maji na Umeme tulipaswa kumaliza mwaka wa 10 baada ya Uhuru!

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania Ibrahim Mussa maarufu Roma Mkatoliki, ametoa maoni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa, kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa changamoto za maji na umeme zilipaswa kutatuliwa tangu miaka ya mwanzo baada ya uhuru. Kupitia mtandao wake wa Instagram Roma amewataka wananchi kuangalia mbali zaidi ya ahadi za huduma za kimsingi kama maji, umeme, barabara, shule na madawati wakati wa kuchagua viongozi ifikapo 2025.
1727764723504.png
"Maoni yangu binafsi, 2025 tusimchague kiongozi kwa kutazama tu huyu atatuletea maji, umeme, barabara, shule na madawati. NO!!" amesema Roma.

Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza.

"Hivi kwangu mimi ni bora kwanza kuliko hata hayo maSGR sijui mandege," amehitimisha Roma, akiweka msisitizo juu ya haki za raia na uhuru wa kujieleza kuwa ni kipaumbele kikubwa.
1727764863381.png
 
Na huu ndio ukweriiiiiiii nugu zangu in hayati voice
 
Msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania Ibrahim Mussa maarufu Roma Mkatoliki, ametoa maoni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa, kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa changamoto za maji na umeme zilipaswa kutatuliwa tangu miaka ya mwanzo baada ya uhuru. Kupitia mtandao wake wa Instagram Roma amewataka wananchi kuangalia mbali zaidi ya ahadi za huduma za kimsingi kama maji, umeme, barabara, shule na madawati wakati wa kuchagua viongozi ifikapo 2025.
"Maoni yangu binafsi, 2025 tusimchague kiongozi kwa kutazama tu huyu atatuletea maji, umeme, barabara, shule na madawati. NO!!" amesema Roma.

Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza.

"Hivi kwangu mimi ni bora kwanza kuliko hata hayo maSGR sijui mandege," amehitimisha Roma, akiweka msisitizo juu ya haki za raia na uhuru wa kujieleza kuwa ni kipaumbele kikubwa.
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Kwamba zikitoka ahadi tofauti na hizo ndio zitatekelezeka?Kama hizo zinashindikana utakuwa vivo hivyo tu Kuwa ahadi Nyingine,Sana Sana labda tutafurahia tu upya wa ahadi.
 
Maisha yangu mpaka sasa nimeshashuhudia chaguzi kuu 5, na katika kila uchaguzi ahadi huwa ni zile zile tu, mpaka unashangaa kwamba miaka yote iyo izo ahadi hazitekelezeki au
 
Msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania Ibrahim Mussa maarufu Roma Mkatoliki, ametoa maoni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa, kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa changamoto za maji na umeme zilipaswa kutatuliwa tangu miaka ya mwanzo baada ya uhuru. Kupitia mtandao wake wa Instagram Roma amewataka wananchi kuangalia mbali zaidi ya ahadi za huduma za kimsingi kama maji, umeme, barabara, shule na madawati wakati wa kuchagua viongozi ifikapo 2025.
"Maoni yangu binafsi, 2025 tusimchague kiongozi kwa kutazama tu huyu atatuletea maji, umeme, barabara, shule na madawati. NO!!" amesema Roma.

Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza.

"Hivi kwangu mimi ni bora kwanza kuliko hata hayo maSGR sijui mandege," amehitimisha Roma, akiweka msisitizo juu ya haki za raia na uhuru wa kujieleza kuwa ni kipaumbele kikubwa.
Kwamba mahitaji yetu Kama nchi ni kumkosoa kiongozi!!?..akili Hana huyo mtoto,yaani 1970 tungekua tayari tushajenga mitambo ya umeme inayofua megawatt 2000 na miradi ya maji ya kukidhi mahitaji ya Leo!
 
Msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania Ibrahim Mussa maarufu Roma Mkatoliki, ametoa maoni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa, kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa changamoto za maji na umeme zilipaswa kutatuliwa tangu miaka ya mwanzo baada ya uhuru. Kupitia mtandao wake wa Instagram Roma amewataka wananchi kuangalia mbali zaidi ya ahadi za huduma za kimsingi kama maji, umeme, barabara, shule na madawati wakati wa kuchagua viongozi ifikapo 2025.
"Maoni yangu binafsi, 2025 tusimchague kiongozi kwa kutazama tu huyu atatuletea maji, umeme, barabara, shule na madawati. NO!!" amesema Roma.

Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza.

"Hivi kwangu mimi ni bora kwanza kuliko hata hayo maSGR sijui mandege," amehitimisha Roma, akiweka msisitizo juu ya haki za raia na uhuru wa kujieleza kuwa ni kipaumbele kikubwa.
atuambie ni nchi gani ilishafanikiwa kufanya hivyo hapa duniani? anafikiri ni kama kupika chai na kunywa siyo?
 
Maji ni tatizo mjini, siku ya 4 hii.

Ni aibu kwa serikali aisee.

Mna mito, maziwa na bahari, uwezekano wa kuchimba visima upo ila bado maji ni tatizo.
 
Ukihoji tu unalo, angalia yule jamaa aliyemkosoa governor wa Mombasa huko Kenya alifanywaje!!
 
Msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania Ibrahim Mussa maarufu Roma Mkatoliki, ametoa maoni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa, kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa changamoto za maji na umeme zilipaswa kutatuliwa tangu miaka ya mwanzo baada ya uhuru. Kupitia mtandao wake wa Instagram Roma amewataka wananchi kuangalia mbali zaidi ya ahadi za huduma za kimsingi kama maji, umeme, barabara, shule na madawati wakati wa kuchagua viongozi ifikapo 2025.
"Maoni yangu binafsi, 2025 tusimchague kiongozi kwa kutazama tu huyu atatuletea maji, umeme, barabara, shule na madawati. NO!!" amesema Roma.

Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza.

"Hivi kwangu mimi ni bora kwanza kuliko hata hayo maSGR sijui mandege," amehitimisha Roma, akiweka msisitizo juu ya haki za raia na uhuru wa kujieleza kuwa ni kipaumbele kikubwa.
Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza📌🔨
 
Msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania Ibrahim Mussa maarufu Roma Mkatoliki, ametoa maoni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa, kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa changamoto za maji na umeme zilipaswa kutatuliwa tangu miaka ya mwanzo baada ya uhuru. Kupitia mtandao wake wa Instagram Roma amewataka wananchi kuangalia mbali zaidi ya ahadi za huduma za kimsingi kama maji, umeme, barabara, shule na madawati wakati wa kuchagua viongozi ifikapo 2025.
"Maoni yangu binafsi, 2025 tusimchague kiongozi kwa kutazama tu huyu atatuletea maji, umeme, barabara, shule na madawati. NO!!" amesema Roma.

Badala yake, amesisitiza umuhimu wa kuchagua kiongozi ambaye atavumilia kukosolewa ndani ya miaka mitano ya uongozi wake, kiongozi ambaye hatatishia raia kwa kutoa maoni yao, na ambaye atakuwa tayari kufariji na kutatua matatizo badala ya kutumia nguvu kuwatuliza.

"Hivi kwangu mimi ni bora kwanza kuliko hata hayo maSGR sijui mandege," amehitimisha Roma, akiweka msisitizo juu ya haki za raia na uhuru wa kujieleza kuwa ni kipaumbele kikubwa.
Mdomo Kila mtu anao anaweza sema chochote ila mifano ipo Mingi sana ya waliokuwa wakisema hayo kufeli.
 
Ukipima maendeleo yetu na mida tuliofanya haya maendeleo toka tupate uhuru, uwiano ni mbovu mnooo, tuko nyuma saana kimaendeleo.

Ujinga wa mtanzania ndio mtaji wa wanasiasa.
 
Huyu ni mwehu...

Anafikiri kutoa maoni kwa uhuru ni bora kuliko kutoa mazao Dodoma hadi Dar ndani ya saa moja unusu?
 
Kwake kumkosoa kiongozi ni bora kuliko huduma ya maji na umeme?

Hii wala sio bangi, ni ujinga binafsi...

Kisa amekaa USA anafikiri wao walifika hapo kirahisi ..
 
Kwamba hitaji la kwanza la watanzania ni uhuru wa kukosoa kuliko huduma bora?
 
Back
Top Bottom