Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Una namba ya mke wake mzee?Roma alinyimwa asylum yupo yupo tu huko analewa muda wote wanaomtunza washamchoka ila hajiongezi. Alizamia as anaenda kupiga show na wale kina chalii ya R. Matokeo yake mke wake wanamchapia tu wahuni.
Alinyimwa asylum kivipi wakati alikuwa na sababu zote za kukubaliwa?Roma alinyimwa asylum yupo yupo tu huko analewa muda wote wanaomtunza washamchoka ila hajiongezi. Alizamia as anaenda kupiga show na wale kina chalii ya R. Matokeo yake mke wake wanamchapia tu wahuni.
Hao wanapenda kujiongelesha tuAlinyimwa asylum kivipi wakati alikuwa na sababu zote za kukubaliwa?
Alikwambia kuwa amekimbia nchi? Kwani akitaka kwenda mahala ni lazima atangaze?Ni miaka 4 au 5 tokea msanii Roma Mkatoliki kukimbilia Marekani.
Mpaka leo hatujui sababu zipi zilizofanya utimkie katika nchi za watu na kuwa mkimbizi wa kisiasa
Wakati wew ni msanii mkubwa Sana ulietoa nyimbo nyingi na hit za kiharakati ni muda Sasa wa kurudi bongo Kama mmoja wa shabiki yako tumemisi kukuona kwenye maevent,show,studio na kwenye video Kali.
Roma Mkatoliki uko Marekani unafanya Nini,Kama ulikimbia sababu ya siasa ni muda wa kurudi,
Kama umepata kazi njoo uchukue na familia yako na utangaze umeacha mziki.
Roma Mkatoliki unarudi lini???
Harudi huyo familia kamwachia stamina amtunzie ๐ ๐ analipwa na mmarekan madola ya kutosha,aje kufanyani bongo?๐ ๐Ni miaka 4 au 5 tokea msanii Roma Mkatoliki kukimbilia Marekani.
Mpaka leo hatujui sababu zipi zilizofanya utimkie katika nchi za watu na kuwa mkimbizi wa kisiasa
Wakati wew ni msanii mkubwa Sana ulietoa nyimbo nyingi na hit za kiharakati ni muda Sasa wa kurudi bongo Kama mmoja wa shabiki yako tumemisi kukuona kwenye maevent,show,studio na kwenye video Kali.
Roma Mkatoliki uko Marekani unafanya Nini,Kama ulikimbia sababu ya siasa ni muda wa kurudi,
Kama umepata kazi njoo uchukue na familia yako na utangaze umeacha mziki.
Roma Mkatoliki unarudi lini???
Namna alivyoingia USA ndio imemkwamisha, alienda kama anatumbuiza. Ndio maana anasubiri muda bila hivyo akirudi huku kwenda tena itakuwa kipengele.Alinyimwa asylum kivipi wakati alikuwa na sababu zote za kukubaliwa?
Mbona kama una chuki naye binafsi?Roma alinyimwa asylum yupo yupo tu huko analewa muda wote wanaomtunza washamchoka ila hajiongezi. Alizamia as anaenda kupiga show na wale kina chalii ya R. Matokeo yake mke wake wanamchapia tu wahuni.
You're right. So?Mbona kama una chuki naye binafsi?
Bint una maneno, au mimba changa zinakusumbuaRoma alinyimwa asylum yupo yupo tu huko analewa muda wote wanaomtunza washamchoka ila hajiongezi. Alizamia as anaenda kupiga show na wale kina chalii ya R. Matokeo yake mke wake wanamchapia tu wahuni.
Dah!...Harudi huyo familia kamwachia stamina amtunzie ๐ ๐ analipwa na mmarekan madola ya kutosha,aje kufanyani bongo?๐ ๐