Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Mpaka sasa tushapata idea how these makirikiri operate,
kwanza wanakuapproach wakijifanya law enforcement ageng,
wakitaka ufatane nao kwa mahojiano,wewe utajua labda ni polisi,ila ukiwaomba kitambulisho ndo unaweza kuambulia makofi,then wanakuingiza ndani ya gari na kukuziba macho ili usijue unapelekwa wapi,
hawa watu watakuwa wame establish safe house ajili ya kuhojia na pengine hata kufanya toturing na either kuku disparch ili ukarutubishe ardhi,

sasa ukishafika huko kama ,wanakuhoji na kama hueleweki watakutesa na kukuweka mpaka wapate watakacho,
kama hutoi ushirikiano watakuwa na option mbili,either kukuua ama kuendelea kukuweka.
Kama umetoa ushirikiano watakuingiza katika kali ukiwa umezibwa usoni na kukudump sehemu lakini baada ya kuwa umepewa vitisho na yule mkulima vya kukufunga mdomo,

vitisho kama vile,"kijana usithubutu kusema haya yaliyokutokea ama sivyo yule mwanao anaesoma sant maria,yule mwanao kipenzi utampoteza,kama unaipenda family yako keep kwayat".

Mkatolic hana ujanja atakaa kimya
 
Mkuu Ulikuwepo? Maana haya Maelezo yako ni Kama Muvi uliishuhudia vile lete Utamu zaidi.

Angalia ujinga wako, baada ya kuuliza maswali yenye akili, unatafuta unafiki.

Huyu mleta mada mbona anajua yote yaliyotokea kutoka walipochukuliwa , Walipopelekwa, mateso waliyoyapata, nani aliyewatesa, kiongozi aliyewatembelea NA kuzungumza nao.

Sasa yeye alikuwa NA jukumu au mchango gani katika utekaji huo, alijuaje yote hayo n.k. ????

Idara ya upelelezi huyu mleta mada ataweza kumisaidia.
 
Siwezi kuhoji ukomo wa uelewa wako lkn kwa haraka haraka ni kuwa wewe ndio una ubashite. Mleta mada kasema kuwa roma asipoleta ukweli yeye atauleta huo ukweli.

Kwanini ndani ya uzi huo huo aanza kuropoka kabla roma hajaongea??

nilichofanya ni kumtahadharisha tu huyo mkatoliki kuwa tunamtaka aseme ukweli huo ambao nimeuweka hapo na si kinyume. kamuulize au nenda eneo analoishi kisha uliza hapo mtaani kuna gari gani ambalo kila baada ya saa moja linapita hapo na kuna simu gani kapigiwa leo hii ( jumapili ) mida ya saa 5 mara baada ya kupokea simu za akina ruge na wakili wake? nikushauri tu mkuu kaa mbali kabisa wakati wa watanzania kunyanyaswa kwa maslahi ya majangili wawili sasa tunataka kuumaliza kabisa ili tanzania ile ya amani, usawa, haki na upendo irudi. na kama mpo karibu na huyo mkatoliki wenu mfikishieni hii taarifa kuwa ole wake kesho asiseme ukweli wote wakatoliki wenzake watausema jumanne na kuna uwezekano hata nchi ikasimama kidogo na dunia kushtuka kwa uonevu na ukatili ulioibuka tanzania.
 
Siji uwa unalipwa nini au sh ngapi
 
IDs hizi za Lumumba huwa kazi yake kupotosha tu,kwa Ben Saanane mlianza hivi hivi huku mkikebehi ilihali wazazi wake waliomzaa na kumlea kwa tabu wakiumia,kisa mnalipwa!!

JEE ID yako NA ya mleta mada ni za Ufipa
 
Hapafai kuondoka hapa ngoj nichukue kiti kabisa
 
Sifikirii kama atasema bayana ya yaliyomkuta.Kutishiwa uhai kubaya.
Aliimba .."leta defender!,leta wajeda !leta wagambo!..Roma nimejitoa muhanga...!"
Wamepeleka Noah tu,karudi ameufyata.Eti hawezi kuzungumzia tukio,utafikiri kuna kesi inayosikilizwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha aongee, we ndo mbaya unayetaka ukweli usisemwe! Where we dare to talk openly, usitafute sympathy na kiki katika kukamatwa kwa Max, hata kukamatwa kwake ndo mwendelezo wa haya ya kutekwa, ukweli uweka kila kitu huru
 

Mkuu shusha pumzi, tuna kutegemea sana J4 utufumbue macho
 
kuna muda unafika watu wanachoka halafu nafsi inakusuta kwa matendo unayolazimishwa kuyafanya. hali ni mbaya tanzania.

Hakuna baya lolote hapa nchini. Ninjtie wachacge manata wati wawafate ili kuweze kufikia malengo yenu. Unayoyaongea hayana tofauti na yule aliyeongea na wa kwao jana.

Mnaraka kuweka watu kwenye wasiwasi wa kutekwa huku mnayapanga ninyi.

Majambazi mbona hamuwaongelei na wanatenda mengi kila siku nchini kilakona!?

Mtanyooka tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…