Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Ana chechemea,inaonekana kipigo alichezea

tena siyo kidogo na alikanyagwa mno mbavuni na kichwani na juzi ilibidi akandwe sana ili kuondoa uvumbe uliokuwa umemjaa usoni mwake. mkuu hayo niliyokuwekea hapo na madogo mno hao vijana wamefanyiwa mambo makubwa na hadi ya kudhalilishwa na nasita kuyaweka hapa kwa maslahi tu ya familia zao na dini zao. inauma na inasikitisha sana watu wawili wanaandaa mateso kwa watanzania kwa maslahi yao na kuwanyamazisha watu.
 
Haya sawa Mkuu mkatoliki
Ila fahamu pia ni ngumu sana kuficha personality yako kwa IDs zaidi ya moja or else umekubuhu kwenye hiyo fani kitu ambacho sio kweli kwa sababu umesha acha traits na ndio kosa lenyewe

Anyway tukutane jumanne Mkuu sana
Kuna kitu na mimi nmekiona mkuu huyu mtu Ana I'd nyingi tu katika huu uzi tena kama sio Ge.....ne
 
Mmmh[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Wewe kama nani? Roma anakukaza au? Ebu tuondolee uchawi wako hapa,akwambie wewe kama nani maskini mkubwa
 
Yani hawa mbwa wanaudhi,unatamani hata uwapige shoka la shingo,kabisa jitu linakuja linakomalia eti aseme ukweli,mijitu mingine bora itolewe kafara tu useless
 
Thanks binamu, tell them
 
Yani hawa mbwa wanaudhi,unatamani hata uwapige shoka la shingo,kabisa jitu linakuja linakomalia eti aseme ukweli,mijitu mingine bora itolewe kafara tu useless
Nakuunga mkono pamoja na akili zako ndogo kwamba hii inchi itabid siku tutandikane sana huko mbele ili tueshimiane maana ipo fika inchi ni mali ya kikundi flani tu hivi cha watu
 

ukijibu swali hili, nitakuona una akili, ukishindwa nipe nilale na mama yako

kwani kosa la Roma mkatoliki ni nini?
 
Dah.... Kwani kuna siri gani? Kweli ingekuwa jambo la maana kwanini aliweke hadi Jumatatu? Mbona media Ulikuwepo pale.. Au hadi akawaulize waume zake? Msituchoshe kwa ujinga wenu kwa tamaa za kupiga. Wenye akili wanazidi kuwadharau[emoji13] [emoji13]
 
Amejua hatasema ukweli kwasababu tu Jana anahali mbaya kuchechemea nã mikwaruzo mwilin nã bado alinena kwamba yupo fiti moja kwa moja tumejua wamepigwa top kusema nahuenda wametishiwa kurudishwa walipotoka
 
Ningekuwa mimi Roma ningenyamaza kimyaaa ili nione viuno vya Wakatoliki halisi v/s Watekaji v/s Serikali kisha baadaye natoa NGOMA KALI inayoelezea hali halisi baada ya kama wiki natembea Tz nzima kupiga show nikishavuna naendelea kuwaangalia mnavyotafuna ubuyu huku nafikilia nitokee kwa staili ipi nyingine.
 
ukijibu swali hili, nitakuona una akili, ukishindwa nipe nilale na mama yako

kwani kosa la Roma mkatoliki ni nini?
Hah hah hah hah mkuu ungemwekea na uchaguzi je akipatia swali?
 
Inawezekana we we ni mmojawapo ya watekaji inakuwaje uyaelewi haya mambo kiasi hiki kuanzia hatua mwanzo ya kutekwa mpaka dakika ya mwisho ya kuachiwa
 
Mtoa mada hili la Roma mimi nahesabu limekwishA.. Kelele zitabaki mtandaoni tu.
 
Reactions: dtj
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…