ROMA na STAMINA wana maana gani kufanya hivi?

Mwenye huo wimbo mpya embu aweke hapa tuburudike

Maneno ya khanga sisi wengine hayana maana
 
Wema=Nyekundu=Simba (UKAWA)
Zari=Kijani=Yanga=CCM
Kama taifa tunatakiwa kuwa wamoja bila kujali itikadi zetu (Nadhani anamaanisha hivyo).
 
Wema=Nyekundu=Simba (UKAWA)
Zari=Kijani=Yanga=CCM
Kama taifa tunatakiwa kuwa wamoja bila kujali itikadi zetu (Nadhani anamaanisha hivyo).
 
kwanini muumize vichwa kwa vijimambo vya ajabu ajabu kama hivyo? watz bhana

Ngw'ana Kabula
 
Hata ukinikata damu yangu ni lowassa tupu so Wanangu wa ukawa vidole viwili juu.
 
Wanaleta siasa na wenzao wakileta siasa wataanza kulia ooh tunatekwa..naona ameshasahau kibano na kugalagazwa kwenye bwawa..kapona sasa
 
Hata ukinikata damu yangu ni lowassa tupu so Wanangu wa ukawa vidole viwili juu.
Sikinde waliimba, "leo upo manzese na kesho kinondoni, unajivunjia heshima na hadhi yako bure, heri pazia kuliko bendera kufuata upepo ooh".

Ungesema wewe ni mwana CDM damu ungeeleweka, lakini ni shabiki wa mtu, kumbe huna maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…