Roma na Wenzako, Msithubutu kuwasaliti Wapiga Yowe Wenu!!

Mchokoo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
1,181
Reaction score
1,579
Kitendo chenu cha kuficha ukweli wa mambo ulivyo, eti kwa sababu ya mapatano na watekaji;

Mosi.
Huku kutakuwa ni kuwasariti wale walioshinikiza kuachiwa kwenu, na ni dhambi mbaya sana!

Pili.
Kitendo cha kuficha ukweli wa mambo ulivyo;
Huko kutakuwa ni kuridhia ndugu zenu na jamaa zenu waendelee kutendewa kama ninyi au zaidi yenu, yaani kupotezwa kabisa kama Ben.

Tatu.
Kitendo cha kuficha ukweli wa yale yaliyowakuta;
Huko kutakuwa ni kuiridhia dhambi ya watekaji.

Nne. kitendo cha kudanganya ili kuficha dhamira ya watekaji;
Huko kutakuwa ni kumkosea Mungu aliyewatoa katika makucha ya simba wenye uchu wa nyama zenu.

Mwisho.

Roma mkatoriki, mnamkumbuka Dr. Ulimboka?

Nani ajuae huenda angeweka ukweli wa mambo yaliyomkuta wazi leo msingekuwa wahanga wa haya!

Narudia.
Semeni ukweli ili kuwatia moyo watetezi wenu kusudi waendelee kuwapambania wengine.
Semeni ukweli maana wasema kweli ni wapenzi wa Mungu.
 
Kweli kabisa,,,na itakuwa washapangwa jinsi yakusema walikuwa wapi na mazingira yalikuwaje
 
Watakua wanasubiri kuandikiwa na bashite cha kuongea
 

Mbona watu mnakari uongo? Nani kasema dr Ulimboka alificha? Angalia hii video jinsi alivyoelezea kila kitu tena akiwa mgonjwa.

 
Wameshalishwa yamini na kujazwa woga hakuna ukweli wowote wanaoweza kusema hawa! Watafuata nyayo za Mwakyembe na Ulimboka, labda kwa kuwa wao sio Wanyakyusa! Muda utaongea.
 
Alotekwa hashindwi kusema kweli msilete akili za kinyumbu ila uzuri wa tz wa leo si wajinga tunaelewa huu mchezo hautofika mwisho utagundulika.
Roma atekwe who is roma? kafanya kosa gani
 
Kijana kama Roma naona anauthubutu kama Nape
 
Ukute naye alipewa pesa kwa hiyo ni straka WA hii movie hahahahh
 
Kwnz wanatbiw na nan?
UK walipo wapo salama wakilindw na nan ama hawalndwi?
Hy n mamb mhm yatakyotoa mwangaza wa kna Roma kuwez kutufkirsha km watasema chchte cha kwel
 
Alotekwa hashindwi kusema kweli msilete akili za kinyumbu ila uzuri wa tz wa leo si wajinga tunaelewa huu mchezo hautofika mwisho utagundulika.
Roma atekwe who is roma? kafanya kosa gani
Ukifatilia Yule mtoa taarifa wa kina Roma alisema alitoweka 12 ,but police wanasema saa tano usiku,nahic hii movie na Roma naye ni mchezaji kiungo ,wamepanga na serikali wafanye yao.
 



Sikiliza Clouds Redio kuanzia sasa hivi....utasikia nyimbo za Rama tu kwa fujo, wale jamaa watafanya kila njia kumpa tafu/kikii Rama ili awe punda wao wa baadaye. Clouds wanamjenga msanii wanaomtaka ili wamtumia hapo baadaye. Diamond wamemsusa kutokana na ukaribu wake na Bashite na nyote mwajuwa Bashite alifanya nini pale mjengoni. Ruge kwa kweli si mtu wa kumchukulia kimzaha, polisi inabidi wamkamate huyu dogo, ni jangili yeye na kundi lake.
 
Sure, otherwise next watpotea kimya kimya and no one will question
 
Roma ni ngumu kuongea ukweli hapo kesho
kwa ile hofu aliyoonyesha jana inajitosheleza
 
Asikwambie mtu wakikuteka wale watu hutokuja kusema hata siku moja! Hata siku moja, hapo kala vitisho vya kutosha. Unakumbuka Ulimboka? Uliwahi kusikia akisema lolote?
 
Ni kweli aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…