Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Ninavyomjua mimi ROMA ni msanii ambaye alianza na nyimbo za kiarakati
Yaani aliifanya HIP HOP yake kuwa kama njia ya kuikosoa serikari .
Mashairi ya nyimbo zake yalilenga zaidi kuelezea moja kwa moja maisha halisi ya MTANZANIA na kile kinachondelea katika Jamii,makosa na nini serikari inaitaji kufanya ili kuleta maendeleo ,
Dhumuni la kuandika uzi uuh ni kuhusu Nyimbo iliyotoka kwa Jina la K,
ingawa si yake ya kushirikishwa lakini kulikuwa na umuhimu wowote wa ROMA kukubali kushiriki kuimba wimbo huo ukizingatia na maudhui ya Wimbo wenyewe,
ROMA yule wa kiarakati ni kweli kakubali vipi kuimba huo wimbo ukizingatia heshima yake na jamii ilivyokuwa inamchukulia?
Hili ni swali ambalo kila nikikaa najiuliza tangu siku nilipoisikia nyimbo iliyopewa jina la K
MZIZI MKAVU.
Yaani aliifanya HIP HOP yake kuwa kama njia ya kuikosoa serikari .
Mashairi ya nyimbo zake yalilenga zaidi kuelezea moja kwa moja maisha halisi ya MTANZANIA na kile kinachondelea katika Jamii,makosa na nini serikari inaitaji kufanya ili kuleta maendeleo ,
Dhumuni la kuandika uzi uuh ni kuhusu Nyimbo iliyotoka kwa Jina la K,
ingawa si yake ya kushirikishwa lakini kulikuwa na umuhimu wowote wa ROMA kukubali kushiriki kuimba wimbo huo ukizingatia na maudhui ya Wimbo wenyewe,
ROMA yule wa kiarakati ni kweli kakubali vipi kuimba huo wimbo ukizingatia heshima yake na jamii ilivyokuwa inamchukulia?
Hili ni swali ambalo kila nikikaa najiuliza tangu siku nilipoisikia nyimbo iliyopewa jina la K
MZIZI MKAVU.