Roma naye amkataa Nay wa Mitego

Roma naye amkataa Nay wa Mitego

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Roma kwenye account yake ya Twitter ameandika haya

#YAH: SIHUSIKI KWENYE HILI.

Kwenu @BasataTanzania Husika Na Kichwa Cha Habari Hapo Juu, Huyu Kijana NAY Ni Muongo Sana, Mimi Sijamtumia Kitu Chochote Wala Sijahusika Kwenye Wimbo Wake Huo, Kwanza Hata Namba Yake Ya Simu Sina, Ananisingizia Na Sijapenda!! Mimi Ni Kijana Muadilifu Sana NA MNALIJUA HILO @BasataTanzania

Naipenda Sana Nchi Yangu, Zidumu Fikra Za Mwenyekiti Na Kazi Iendelee……!!

#NB Akija Hiyo Jumatatu, Malizaneni Naye PekeYake, Mimi Nina Familia Na Watoto Wananitegemea Kupitia Mziki, Sitaki HekaHeka!!

Kwanza Mimi Urafiki Na Mtu FreeMason Wapi Na Wapi? @BasataTanzania Hata Nyie Hamuoni!!?"

Kwa upande wangu naona Roma kazingua sana
Screenshot_20230730-202959.png
 
Sidhani kama ni maneno ya Roma haya, kuna mtu ame hack au ametengeneza account kwa jina lake ili ionekane Nay yuko peke yake.
 
Sidhani kama ni maneno ya Roma haya, kuna mtu ame hack au ametengeneza account kwa jina lake ili ionekane Nay yuko peke yake.
Hio ni official account ya Roma [emoji23][emoji23][emoji23]huoni blue tick kabisa hapo ...

Roma anajua mziki waliomchezesha wakati anatekwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Roma kwenye account yake ya Twitter ameandika haya

#YAH: SIHUSIKI KWENYE HILI.

Kwenu @BasataTanzania Husika Na Kichwa Cha Habari Hapo Juu, Huyu Kijana NAY Ni Muongo Sana, Mimi Sijamtumia Kitu Chochote Wala Sijahusika Kwenye Wimbo Wake Huo, Kwanza Hata Namba Yake Ya Simu Sina, Ananisingizia Na Sijapenda!! Mimi Ni Kijana Muadilifu Sana NA MNALIJUA HILO @BasataTanzania

Naipenda Sana Nchi Yangu, Zidumu Fikra Za Mwenyekiti Na Kazi Iendelee……!!

#NB Akija Hiyo Jumatatu, Malizaneni Naye PekeYake, Mimi Nina Familia Na Watoto Wananitegemea Kupitia Mziki, Sitaki HekaHeka!!

Kwanza Mimi Urafiki Na Mtu FreeMason Wapi Na Wapi? @BasataTanzania Hata Nyie Hamuoni!!?"

Kwa upande wangu naona Roma kazingua sanaView attachment 2703207
[/
Ni dhiaka kweli
Kweli ni Kama dhihaka..
 
Back
Top Bottom