ROMA ni Msanii wa ovyo. Aambiwe maua wanapewa wanawake

CCM huwa inawekwaje kwenye ballot paper?.

Andazi litawekwa kwenye hiyo paper kama CCM inavyowekwa
 
Kula chuma hiko
 
Hip hop sio kama mata** Kila mtu anayo....
Hizi ni liberation struggle machoni pa waTz

Na kawachana mnajipendekeza Ili mpate uteuzi.....

Nimekunukuu
πŸ‘‡
"Hizi nyimbo za roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza"
 
Ndiyo hivyo yeye ameshaimba na wewe usiyemwelewa/usiyempenda umeshaanzisha uzi wa kumdiscuss na yeye amepata tena attention toka kwa mtu kama wewe usiyemwelewa/usiyempenda....another day another milestone for him.... Life goes on....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…