Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Mkuu mimi bora umauti kuliko kuwa ms**Mbona ulimboka aliwataja hakuna aliyechukuliwa hatua, subiri ukitatuliwa linda tuone utachukua hatua gani
Usimlaumu kwa maana hujui nini kilimpata.Mkuu mimi bora umauti kuliko kuwa ms**
Ulimboka na huyo dogo scenareo zao ni tofaut sana......
Huyo dogo. Alidhani kutunza siri kutamtoa....
Roma kabla hajatekwa alikuwa na kauli kama hizi, mara kajitoa sadaka nkMm binfsi Iwe mchana iwe usiku ningesema kwani sikutaka nilitekwa,acha waniue ningeacha alama Tz
Mpaka watoto wanajua alifanzwa nini. Kuna mambo mengine yanatia aibu. Yaani mwanamume unatoka hadharani na kuongea kauli tata kama hizo!!??Bora asingeongea kabisaa
No matter how evil money is,but being broke is not holly.
Uo wimbo niliuskia siku moja nilicheka sana'leta bunduki,leta wajeda.leta sijui nini na nini afu nitupwe daraja la mkapa".............dadeki, watu hawajaleta hata kirungu, eti baby kopo dogo tu, dogo kimyaaaaaa anatafuta tu huruma ya wananchi.
ndo waache kujiona 'komando Joni' wakiwa booth mule!
Watu wazima tushamuelewa sanaHaya usiseme, tumeshaelewa
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Mkuu hapo kwa Mwakyembe na Ndugai sijakupata, naomba uninong'onezeUsimlaumu kwa maana hujui nini kilimpata.
Kila mtu husema hivyo ila likimpata la kumpata ndipo utaona kabadirika.
We jiulize mwakyembe wa sasa na wa zamani before hajaugua.
Ndungai wa sasa na wa zamani kabla hajaugua and the list goes on
Walimpapuch kidogo labdaHata akiwa yeyote humu JF hawezi kusema wale viumbe wkimdaka coz nackia n MARINDA yanafumuliwa with alot of videos
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Alitatuliwa marindaItakua jamaa waliondoka na sifuri yake nin?? Nawaza tu
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app