Roma umeishiwa mpaka umeibia nyimbo ya jeshi??

Siku nyingine uzi kama hizi tuwe tunaziangalia tu hakuna kuchangia

python mobile
 
Huu ndio ujinga wa kujadili vitumbua kama vinafaa kwa chai[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] mnanirushia stimu

Jamii Forums mobile app
 
Hoja yako ipo wapi..tukisaidiaje? Huu sasa ndio wivu wa kike pure
 
kwa wale waliopitia jeshini hata jkt watakuwa wanaojua iyo nyimbo maarafi zimbabwe,ambayo jamaa ameiiba na kuiboresha au anataka wanajeshi wampige mkwara adai wanaonewa?? Maana hata kwa verse anadai aliemteka alikuwa soldier anauhakika
Kwanza ukitoa nyimbo za band za majeshi, nyingine zote za mchakamchaka hazina umiliki, ni za kuibua hisia tu ili kupandisha mori.

Roma kachukua maneno ya wimbo wa "Zawiya makamanda", ambao japo sijui maana yake, lkn mbele wakaweka "...tunakwenda, Zimbabwe, Zimbombo, Iyeleleee...".

Wimbo ulikuwa na lengo la kuamsha hisia za wapigania uhuru, wakamsaidie Mgabe kuwafurusha walowezi, waiache Zimbabwe huru.

Sasa Roma, ameshindwa kusimamia alichotuaminisha kwa muda mrefu kusimamia uzalendo, kupinga ufisadi, uonevu, na maovu mengine ya watawala yaliyopo Tanzania, anawaza kukimbilia Zimbabwe. Picha anayotengeneza ni Zimbabwe kuna amani na utulivu wa kutosha, atafurahia maisha akiwa huko.

Kifupi, ameshindwa tena sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sinaaa patinaaaa,sina patinaaaaaa,sina patinaaa aaaaaah ninalala peke yangu

Wazee wa morali

RSM ni yule mzee wa nini nani weeee nyama ya mbavu
CO Kanole
 
Na ndio maana kuna wanaopata Zero na One...


Huo ndo uelewa wako....wacha tu tuuheshimu...
 
Ulitaka kiitikio kiwe ule, "Helenaa hiyo mimba ni ya naniiii "
UncleBen bwana, nimecheka asubuhi bila kupenda.
Angeweka kiitikio hiko ndio angemsifia. Si ndio soko la wabongo (hasa vijana wengi sio wote) liliko.
Asubuhi njema.
 
Wimbo wa Roma upo juu sana, umejaa vesi kali. Nina kwenda Zimbabwe, anamaanisha Zimbabwe inahukikana ni nchi ya kidikteta, huku kwetu tujitamba ni wanademokrasia, lakini badala ya kutumia hoja kwa hoja kubishana, mwenzio anatumia bunduki. Bora kwenda Zimbabwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa wale waliopitia jeshini hata jkt watakuwa wanaojua iyo nyimbo maarafi zimbabwe,ambayo jamaa ameiiba na kuiboresha au anataka wanajeshi wampige mkwara adai wanaonewa?? Maana hata kwa verse anadai aliemteka alikuwa soldier anauhakika
Kumbe wewe mtoto mdogo, hizo nyimbo wenzako tumeimba kwenye mchakamchaka tukiwa primary, wewe mpaka jeshini ndiko ulikoimba. Halafu acha wivu, mwenzako ndio hivyo kashapaisha ndege wewe endelea kusubiri kama matairi yatachomoka
 
Vijana wa mujibu wa sheria mnasumbua sana mnajiona wajeda sana eeeh?
Shona tulia hapo hapo ulipo ndo uongee huu upuuzi tena!
Jeshi halimiki wimbo hata mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chimbuko LA nyimbo za morally na kuamsha hisia za kizalendo zinapatikana jeshini maana huko zinaenziwa vizazi na vizazi

Ila jeshi halina hati miliki na nyimbo yoyote hata wew unaweza imba tyu ilimradi usivuke mipaka

Kazi ya jeshi ni ngumu ayyeeee
Sio kama polisi ayyyeeee
Push up kwenye kokote ayyyeee
Wao kwenye godoro ayeee
HAIWEZEKANI KAMANDA MAJI KUPANDA MLIMA

acha uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…